joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ingawa hawa jamaa walichemka kwa redsan, nakaya rose muhando na yule rapa wa kike wa Uganda, tusiwe wapiga ramli hatuwezi jua safari hii wamejiadaaje kwa kiba. Ingawa najiuliza Lebo ipo South lkn A list yote ya wasanii wa South sijawaona kumenejiwa na SONY, ila tuwe na subira mambo ya naweza kuwa mazuri kwa kiba kwani kila mtu na zali lake