Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

Deal ya Ali Kiba na Sony: Makosa yanayojirudia..

Katika post yangu namba Saba(7), nilikutahadharisha mkuu.

Pole lakini
Mantiki ya kukanganya wasioelewa. Tatizo sio mkataba, ila ni kuelewa kiingereza ndio hakieleweki. Tafuta nukuu ya SONY MUSIC kuhusu deal yao na Kiba. Utapata mtoa mada hana ukweli wowote kuhusu deal hii. He is relying on media just as we are!
 
Wewe mwenye akili nyingi hujui hata a simple fact hakuna kampuni inayoitwa 'Sony global' bali kuna kampuni inayoitwa Sony music BMG na Ali hajasaini huko Davido pekee ndio amesaini Sony Music BMG (global brand)!! Ali amesaini Sony Music Africa... Na uelewe kuwa huwezi kusaini Sony Music BMG alafu mziki wako usambazwe na Sony Music Africa ungejua ishu za mikataba na entertainmen industry ungenielewa.. Sony Music Africa sio tawi, ni kampuni tanzu..

Haya tukana tusi jingine

Mkuu tusaidi hili hapa Chini kama kwenye dili la Davido huyu jamaa alienda kufanya nini?
One of Nigeria’s most celebrated musicians, David Adedeji, popularly known as Davido, has signed a musical record deal with world extolled musical record, Sony Music.

The American-based company made this known in a statement published on its website.

According to the statement, the deal entails Davido making and producing all his songs under the corporation’s label.

The deal was signed at Sony Music office in New York.

The Managing Director of Sony Africa, Sean Watson, during the signing rites said, “Working with incredible talent like Davido heralds a new era for Sony Music Entertainment Africa on the continent.

“We couldn’t be prouder of our partnership with Davido and we are extremely keen to support his vision to succeed at the highest level in our industry.”

Davido promised his African fans a great deal time with the Sony.

“I’m blessed to be partnering with Sony Music Entertainment on this next chapter. My number one aim is to make my fans and Africa proud,” Davido said.
 
Nimeangalia interview ya Mayunga aliyekuwa chini ya Universal Music Group based in Africa ambayo inashabiana sana na Sony entertainment, baada ya kuona hasimamiwi ipasavyo kama mkataba ulivyodai Mayunga kaamua kujitoa UMG. Hii ndiyo itamtokea Kiba kama wasanii wengine wote waliopata kupita kupita chini ya hizi labels kama Rose Muhando n.k. Tusubiri labda muda utatuprove wrong

Link interview ya Mayunga kujitoa Universal Music Group:
 
Nimeangalia interview ya Mayunga aliyekuwa chini ya Universal Music Group based in Africa ambayo inashabiana sana na Sony entertainment, baada ya kuona hasimamiwi ipasavyo kama mkataba ulivyodai Mayunga kaamua kujitoa UMG. Hii ndiyo itamtokea Kiba kama wasanii wengine wote waliopata kupita kupita chini ya hizi labels kama Rose Muhando n.k. Tusubiri labda muda utatuprove wrong

Link interview ya Mayunga kujitoa Universal Music Group:

Well noted mkuu!! And point aliyoongea mayunga inafanana kabisa na point niliyoongea kwenye bandiko langu, hawa watu wanakuwa na ishu nyingi mno kubwa kubwa so wewe msanii mmoja peke yako unakuwa sio priority kwao na ndio maana kila anayesaini na hawa jamaa tunamsahau.. Just imagine Mayunga alikuwa anatakiwa atoe nyimbo kila baada ya miezi 3 lakini mpaka sasa zaidi ya mwaka alafu ana kanyimbo kamoja tu wenyewe wako bize na ishu zao!!!

Let's wait, time will tell!
 
Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..

Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

Kingine watu wanaona hii ni kama Bahati Ali amepata wanachoshindwa kuelewa ni kwamba wasanii wakubwa Africa huwa wanakataa kusign na hizi kampuni zenye asili ya marekani na ulaya kutokana na kampuni hizi kushindwa kutimiza malengo na kutoelewa mazingira ya soko la mziki Africa! Kwa mfano wasanii wote ambao wamewahi kusign na Sony karibia wote walikuja kufa kimuziki kutokana na Sony kushindwa kuwa market kutokana na kutoelewa mziki wa Africa; mfano wasanii kama Nakaaya Sumari, Nneke Egbuna (Nigeria), Luncvile (SA), Nathan Ro (SA) wote hawa wamepotea kwenye mziki..

Mfano mwingine ni msanii D'banj ambaye aliondoka Mavins na kujiunga na label ya GodLife chini ya kanye west, mpaka sasa D'banj anasafiria jina lake tu lakini kimuziki ameshuka vibaya sana!! Kampuni za kimarekani hazina record ya kuwatoa wasanii wa kiafrika na hii inatokana na kutoelewa industry yetu na ndio maana Psquare walikataa mabilioni waliyotaka kupewa ili wasign Convict records..

Kingine kinachosemwa na watu ni kwamba hizi kampuni zina mambo mengine makubwa zaidi kwahiyo inakuwa nguvu kwao kuwa serious sana na mwanamuziki mmoja mmoja; kwa mfano kampuni mama ya Sony Music Africa (Sony Entertainment BMG) ina zaidi ya label 25 ndogo ndogo kama hii aliyosign kiba na ina wasanii karibia katika kila nnchi ya ulaya, Asia na Amerika ya kusini. Wana zaidi ya wasanii elfu moja wanaowasimamia so inakuwa ngumu kwao kutoa macho kwa msanii mmoja mmoja na ndio maana wasanii wengi wakubwa wa Africa wanakataa kusign chini yao wanaona ni afadhali watengeneze timu zao wenyewe za management ambazo macho yao na attention yote itakuwa kwao wao kama wasanii..

Anyways, let me just assume management ya Ali inafahamu vitu ambavyo mimi sivifahamu na wamefanya research ya kutosha kabla ya kusign na hatimaye watatuprove wrong wote ambao tuko sceptical about this deal.!!
Kama kijana mwenzangu namtakia kilala kheri na mafanikio katika safari yake mpya...
 
Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa
Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

Kingine watu wanaona hii ni kama Bahati Ali amepata wanachoshindwa kuelewa ni kwamba wasanii wakubwa Africa huwa wanakataa kusign na hizi kampuni zenye asili ya marekani na ulaya kutokana na kampuni hizi kushindwa kutimiza malengo na kutoelewa mazingira ya soko la mziki Africa! Kwa mfano wasanii wote ambao wamewahi kusign na Sony karibia wote walikuja kufa kimuziki kutokana na Sony kushindwa kuwa market kutokana na kutoelewa mziki wa Africa; mfano wasanii kama Nakaaya Sumari, Nneke Egbuna (Nigeria), Luncvile (SA), Nathan Ro (SA) wote hawa wamepotea kwenye mziki..

Mfano mwingine ni msanii D'banj ambaye aliondoka Mavins na kujiunga na label ya GodLife chini ya kanye west, mpaka sasa D'banj anasafiria jina lake tu lakini kimuziki ameshuka vibaya sana!! Kampuni za kimarekani hazina record ya kuwatoa wasanii wa kiafrika na hii inatokana na kutoelewa industry yetu na ndio maana Psquare walikataa mabilioni waliyotaka kupewa ili wasign Convict records..

Kingine kinachosemwa na watu ni kwamba hizi kampuni zina mambo mengine makubwa zaidi kwahiyo inakuwa nguvu kwao kuwa serious sana na mwanamuziki mmoja mmoja; kwa mfano kampuni mama ya Sony Music Africa (Sony Entertainment BMG) ina zaidi ya label 25 ndogo ndogo kama hii aliyosign kiba na ina wasanii karibia katika kila nnchi ya ulaya, Asia na Amerika ya kusini. Wana zaidi ya wasanii elfu moja wanaowasimamia so inakuwa ngumu kwao kutoa macho kwa msanii mmoja mmoja na ndio maana wasanii wengi wakubwa wa Africa wanakataa kusign chini yao wanaona ni afadhali watengeneze timu zao wenyewe za management ambazo macho yao na attention yote itakuwa kwao wao kama wasanii..

Anyways, let me just assume management ya Ali inafahamu vitu ambavyo mimi sivifahamu na wamefanya research ya kutosha kabla ya kusign na hatimaye watatuprove wrong wote ambao tuko sceptical about this deal.!!
Kama kijana mwenzangu namtakia kilala kheri na mafanikio katika safari yake mpya...
Mi sidhan km kungekuwa na tatizo lolote ungempongeza kiba kwa hatua alofikia,,,ila tatizo la wabongo ni kwamba wanatumia muda mwingi kufananisha na MTU aliyeshindwa ktk jambo thats why mnafanya watu wakate tamaa mapema kwa kumuangalia MTU aliyeshindwa on behalf of looking for ways that someone can use in overcoming that threat..... Pongez kwako king kiba
 
Mi sidhan km kungekuwa na tatizo lolote ungempongeza kiba kwa hatua alofikia,,,ila tatizo la wabongo ni kwamba wanatumia muda mwingi kufananisha na MTU aliyeshindwa ktk jambo thats why mnafanya watu wakate tamaa mapema kwa kumuangalia MTU aliyeshindwa on behalf of looking for ways that someone can use in overcoming that threat..... Pongez kwako king kiba
OK WAZO ZURI BRO
 
Mi sidhan km kungekuwa na tatizo lolote ungempongeza kiba kwa hatua alofikia,,,ila tatizo la wabongo ni kwamba wanatumia muda mwingi kufananisha na MTU aliyeshindwa ktk jambo thats why mnafanya watu wakate tamaa mapema kwa kumuangalia MTU aliyeshindwa on behalf of looking for ways that someone can use in overcoming that threat..... Pongez kwako king kiba
On behalf => instead
 
Naona watu wanasema sana kuhusu huo mkataba. Sijaelewa vizuri, je babu Kiba kala za kichwa? Au amelamba dume?
 
Huko kwenye mitandao ya kijamii kumechafuka habari ya Ali kusign deal na Sony wengi wakiamini huo ndio utakuwa mwanya wa msanii huyo kutoboa kimataifa.. Jambo ambalo mashabiki wake wanashindwa kuelewa ni kuwa huo unaweza kuwa anguko la King Kiba badala ya kuwa neema..

Kwanza kabisa kitu ambacho hawakielewi ni kuwa Ali hajasaini na Sony Music Ent. BMG (ishu yake sio 'global deal') bali amesaini na Sony Music Africa ambayo ni subsidiary ya Sony Music Entertainment!! Kwa ninavyoelewa Sony Music Africa wana sambaza mziki na kumanage wanamuziki ndani ya Africa pekee.. Sasa eidha Ali hajui alichosaini au chumvi inaongezwa kunogesha habari..

Kingine watu wanaona hii ni kama Bahati Ali amepata wanachoshindwa kuelewa ni kwamba wasanii wakubwa Africa huwa wanakataa kusign na hizi kampuni zenye asili ya marekani na ulaya kutokana na kampuni hizi kushindwa kutimiza malengo na kutoelewa mazingira ya soko la mziki Africa! Kwa mfano wasanii wote ambao wamewahi kusign na Sony karibia wote walikuja kufa kimuziki kutokana na Sony kushindwa kuwa market kutokana na kutoelewa mziki wa Africa; mfano wasanii kama Nakaaya Sumari, Nneke Egbuna (Nigeria), Luncvile (SA), Nathan Ro (SA) wote hawa wamepotea kwenye mziki..

Mfano mwingine ni msanii D'banj ambaye aliondoka Mavins na kujiunga na label ya GodLife chini ya kanye west, mpaka sasa D'banj anasafiria jina lake tu lakini kimuziki ameshuka vibaya sana!! Kampuni za kimarekani hazina record ya kuwatoa wasanii wa kiafrika na hii inatokana na kutoelewa industry yetu na ndio maana Psquare walikataa mabilioni waliyotaka kupewa ili wasign Convict records..

Kingine kinachosemwa na watu ni kwamba hizi kampuni zina mambo mengine makubwa zaidi kwahiyo inakuwa nguvu kwao kuwa serious sana na mwanamuziki mmoja mmoja; kwa mfano kampuni mama ya Sony Music Africa (Sony Entertainment BMG) ina zaidi ya label 25 ndogo ndogo kama hii aliyosign kiba na ina wasanii karibia katika kila nnchi ya ulaya, Asia na Amerika ya kusini. Wana zaidi ya wasanii elfu moja wanaowasimamia so inakuwa ngumu kwao kutoa macho kwa msanii mmoja mmoja na ndio maana wasanii wengi wakubwa wa Africa wanakataa kusign chini yao wanaona ni afadhali watengeneze timu zao wenyewe za management ambazo macho yao na attention yote itakuwa kwao wao kama wasanii..

Anyways, let me just assume management ya Ali inafahamu vitu ambavyo mimi sivifahamu na wamefanya research ya kutosha kabla ya kusign na hatimaye watatuprove wrong wote ambao tuko sceptical about this deal.!!
Kama kijana mwenzangu namtakia kilala kheri na mafanikio katika safari yake mpya...



Heshima yako mkuu the bold naona davido anatafuta pa kutokea mkataba wake na sony
 
Alisignsony global kwa mujihu wa Millard ago na Ali mwenyew na ndo maana ukifuatilia ile habari alitangazwa Kama muafrica namba mbili kusign deal hilo baada ya davido
Labda ungesema kwa upande wa uelekeo ki mziki ila yule jamaa hajasign Sony africa
 
Heshima yako mkuu the bold naona davido anatafuta pa kutokea mkataba wake na sony
Si utani Davido anajuta kuwafahamu Sony!
Hilo ndio fundisho kwa wasanii wengine, wajiulize kwa nini wenzao wanaoshine zaidi yao hawataki kusaini na haya makampuni ya ulaya.. Haya makampuni ni opportunists na dizaini flani wanyonyaji! Kwa Africa hawawezi muziki wetu afadhali tu mtu ukomae na kina Mobenga na kina Babu Tale..
 
Back
Top Bottom