Dear Babu Asprin...

dah!

IT'S A CRAZY FRIDAY PEOPLE!

''hongera''

ila najihurumia mtungi nitakaoupiga leo....!

ngoja niwahi church nikaungame kabisa kabla ya....
 
Happy birthday dear Asprin, binamu original. Kitu cha kunishangaza ni kwamba unashare siku hii ya kuzaliwa na mume wangu kipenzi, Kama mie nvyoshare siku yangu na Teamo aka baba gift, what a coincidence lol..Have a blast day

Binamu wa ukweli: Huu unaweza kuwa mpango wa Mungu tukutane leo kushehereka pamoja;

Mpe your hubby my birthday wishes...aishi maisha marefu, amani itawale katika nyumba yake!:amen:
 
Happy birthday babu,
Dah naona sasa koti la ubabu taratibu unaanza kuliaga,
karibu kwenye koti la u-kikongwe,
Salimia bibi Matesha!!!!!!!!
 

OUPSSSS! Nilisahau kusema :amen::amen::amen:
 

Daima muzeya.... will always do that!

Damn it! Inakuwaje hii siku muhimu inakuwa ijumaa?

Mpango wa Mungu!
 
Happy Birthday Babu...........Bibi alininong'oneza kuwa ulizaliwa saa sita kasorobo usiku ndo mana thread haijarushwa saa sita kamili mwanzo wa siku.
Hongera sana na sisi pia tunamshukuru MUNGU, Mama Asprin, Mama Matesha, Mamshanga na Matesha kwani bila wao sie tusingekuwa na wewe kwa furaha.

Ubarikiwe sana .........but masikitiko ni kuwa TBL na SBL hawatafanya kazi leo......................wanafanya stock taking.
Long live Mountain Dew
 
kiongozi nakumbuka enzi zako dah!ulikuwa mbabe sana,hehehehehe
 

Attachments

  • MfJ[1].jpg
    9.4 KB · Views: 29
mwanajamii hapo juu naona unatuharibia thread yetu pendwa sasa....
 

Hapo ndipo unapoharibu sasa... au kwa kuwa

.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED.....?
 

:amen::smile-big:

mwanajamii hapo juu naona unatuharibia thread yetu pendwa sasa....

Hahahaaaaaaaa...... Poleni

Happy Birthday Asprin, tafadhali njoo uungame dhambi zote ulizofanya ukiwa tumboni....
 
mwanajamii hapo juu naona unatuharibia thread yetu pendwa sasa....

Hahahahah...Teamo kwa wengine huduma kama kawa isipokuwa kwa mtoto Asprin .....kama vipi aje na kikombe kabisa mtakuwa mnamgaia za kwenu.........lol

Happy Birthday Babu
 
Hapo ndipo unapoharibu sasa... au kwa kuwa

.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED.....?

Hahahaaaaaaaaaaaa this is vere vere.
Ukuje na kikombe kile cha plastik kina Teamo watakuwa wanakugaia bia zao
Happy Birthday
 
hehehehe!halafu hii nilikuwa sijainotisi.....!

.............I am thanking YOU for through your UNCONDITIONAL LOVE, I am REJUVENATED....

samahani emjeiwani hapo juu,mimi sio mwingredha lakini hiyo sentensi inaonekana inakifafa cha kingredha....!hebu iweke sawa,hapo kwenye FOR THROUGH hapo....
 
kiongozi halafu ensi zako ulikuwa mchoyo sana kwa watoto wenzio....!

angalia hii soda unavyoinywa x-mass ya mwaka 1977
 

Attachments

  • 200912041027.jpg
    21.7 KB · Views: 30
Haya mzee mwenzangu,

Na thithi timeona.....

Happy Birthday (sijui ni leo au jana).. Uwe na amani, uchunge kondoo vizuri na usiwale wala kuwaacha wakararuriwa na mbwa mwitu!!

Babu DC!
 
Hahahahah...Teamo kwa wengine huduma kama kawa isipokuwa kwa mtoto Asprin .....kama vipi aje na kikombe kabisa mtakuwa mnamgaia za kwenu.........lol

Happy Birthday Babu

Kama ni hivyo, birthday inaahirishwa mpaka Jumatatu!
 
babu ntakuja kukusuka mvi badaye......................unataka kek au mbege?
wsh u gud.....!!!!!!
 
kiongozi halafu ensi zako ulikuwa mchoyo sana kwa watoto wenzio....!

angalia hii soda unavyoinywa x-mass ya mwaka 1977

Hapo kwenye red......Naona mshiki anafanya kazi yake vizuri

Hapo unapiga funda unaifunika afu unaipeleka kuhifadhi kwa matumizi ya baadaye....soda moja unainywa siku nzima!
 

Teamo it is through this love that I MJ1 am rejuvenated...........meaning that the Uncondition Love am getting is the means through which rejuvenation takes place in me. (Hapa nitakuwa nimeandika Kingereza cha kiswahili ukiona hivyo lol.)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…