Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
✊Somo bora kabisa.Mwenzenu nina ""aleji"" ya kuombwa hela
1. Ukiniomba hela basi ujue sura yako inabadilika kutoka Kuwa Beyonce kwenda Masudi sura mbaya..!!!!
2. Ukiniomba hela basi ujue hilo tako lako loteee linayeyuka, nakua silioni tenaaa ....!!!!
View attachment 3078610
Dear baby, ukiniomba hela hiyo meseji sijibu ng'ooooooo.
View attachment 3078613
Dear baby, hela zangu zipo kwa ajili ya kesho yangu ila sio kukuhonga wewe..!!!
I save for my business and not for the BJ service you provide...!!!
I save for my future and not for pus*y service you provide...!!!
UZI TAYARI.
#YNWA
#YANGA_BINGWA
kwa hadhi yako ni kweli sio pesa, ila kwa mwamba anayejitafuta hiyo pesa ni nyingi sana,Minaona huna pesa tu mkuu, 30k sio ya kumnyima mwanamke mazee...
Kiranja wako kasema we nani ukatae😄UWABATA Oyeee
Hahaha huyo ndio muhasisi wa kataa ndoa🤓Safi sana mwanachama mwaminifu, kwenye kikao cha tar 12 Nov utapewa tuzo yako
Shikilia vizuri, kelele zote hapo kaombwa 30 tu, wakati wenyewe wanawaomba tamu zaoSubiri nipunguze ujeuri kwa babe wangu, kumbe wanaotoa pesa wamekua wachache.
Halafu wenzake wanamsupport! Najiuliza hawa wanaotupa hela ni wanaume wanatoka Kenya au Uganda?🤔Shikilia vizuri, kelele zote hapo kaombwa 30 tu, wakati wenyewe wanawaomba tamu zao
Tamu nayo ni ya kuilipisha mtu kweli? Kiungo ambacho Baba Muumba kakiweka bure??Shikilia vizuri, kelele zote hapo kaombwa 30 tu, wakati wenyewe wanawaomba tamu zao
Kwani ww hupati utamu/raha?Shikilia vizuri, kelele zote hapo kaombwa 30 tu, wakati wenyewe wanawaomba tamu zao