Dear CNN, Nairobi is not in Nigeria and Uganda is not Tanzania

Dear CNN, Nairobi is not in Nigeria and Uganda is not Tanzania

Hukohuko channel ten nilimsikia mtangazaji akisema mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama Tanzania ni Major General badala ya General akidhani Major General ni Mkubwa kuliko General.
Mnh...hapo hata mimi ningeumbuka!
 
Nimefurahishwa na post hii. Wamarekani wengi ni vilaza wa kutupwa/ Wengi hata hawaifahamu Tanzania iko wapi. In fact hata baadhi ya states za kwao hawazifahamu ziliko. Maisha yao yamekuwa mechanized. Kuwaza fedha, ubeberu, na ukandamizaji. Wao wanajua USA ndio the most democratic country. Hata vyombo vyetu vya habari navyo vinaiga kila kitu kutoka CNN, REUTERS (Uingereza), BBC (Uingereza) na kadhalika. Ndege ikidondoka huko kwenye milima ya Alps Ufaransa TV na magazeti yote ya Tanzania yataandika habari hiyo tena ikipewa kipaumbele. Lakini mafuriko yakitokea huko Kahama na kua watu arobaini CNN ni vigumu kuripoti. Kizee kimoja na mtoto wakikumbwa na mafuriko huko Marekani basi utaona hata vyombo vya Tanzania vinaandika habari hiyo. Yaani sisi dunia ya tatu hatuna kitu. Dunia imetawaliwa vibaya. ni utumwa mbaya mno. Kama kizazi cha sasa duniani kinashangaa namna warumi na saxons walivyokuwa wakitesa watu wa nchi nyingine ndivyo kizazi cha miaka 150 ijayo kitashangaa ilikuwaje Marekani na nchi za magharibi zikaitawala dunia kwa unyama kama huu? Marekani na nchi za magharibi wamemuua Sadam Hussein, Wakamuua pia Ghadafi. Mnajua makosa yao ni nini? ni kwa kuwa viongozi hawa walitaka dhahabu itumike badala ya USA dollar.....
 
"Arnolda"!! Dahh! Hii itakuwa baba mtu kafosi jina lake la kwanza kwa binti yake.
 
Inamaanisha habari zetu hazijulikani sana kwao...

Ni mapungufu yao tu, habari zetu zinajulikana kote. Nisingeshangaa kama layman ndie aliekosea lakini si mwandishi, huwa kuthibitisha taarifa ni priority kabla hata ya kuripoti kwa sababu wasikilizaji au watazamaji huzitumia taarifa hizo kama reference na source ya verification.
 
kama kawaida yako! naona unataka kuanzisha ligi nyingine wakati wahusika ambao ni ndugu zetu wakikenya wanaombeleza... kuna kosa gani kuandika EA kwani haukumbuki waliyoyafanya Uganda, tindi kali kule zenji au onyo walilolitoa kwa warundi? hawa jamaa ni majanga kama vile kina jMali, mi naoana huu ni wakati muafaka wa kuomba msaada kwa Kagame, kufikia usawa huu, ni yeye pekee ndiye ameshatuonyesha uwezo wa kudhibiti wauwaji wa namna hii...

Mzee wa sumu nyie si bado mna matatizo? sasa Kagame ataombwaje msaada wakati naye ni kama Gaidi?
 
kama kawaida yako! naona unataka kuanzisha ligi nyingine wakati wahusika ambao ni ndugu zetu wakikenya wanaombeleza... kuna kosa gani kuandika EA kwani haukumbuki waliyoyafanya Uganda, tindi kali kule zenji au onyo walilolitoa kwa warundi? hawa jamaa ni majanga kama vile kina jMali, mi naoana huu ni wakati muafaka wa kuomba msaada kwa Kagame, kufikia usawa huu, ni yeye pekee ndiye ameshatuonyesha uwezo wa kudhibiti wauwaji wa namna hii...

..wengine tunaiangalia habari huu kwa kuzingatia mtiririko wa habari za huko nyuma.

..zaidi, maelezo ya ndani ya habari yanazungumzia Kenya, tofauti na kichwa cha habari kinachojumuisha East Africa.

..vilevile, mbona matukio ya ugaidi yalipotokea Uganda, Burundi, Zanzibar[hawapendi kujitambulisha kama wa-Tz] magazeti ya Kenya hayakuhusisha tukio hilo na Afrika Mashariki nzima?

..Kuhusu kumuangukia Kagame ili atoe msaada wa Kijeshi, hata mimi naunga mkono wazo hilo. Kwa kuanzia, East African Standby Force ambayo inahusisha Rwanda, ipelekwe ndani ya Somalia kusafisha mabaki ya Al Shabaab.
 
..wengine tunaiangalia habari huu kwa kuzingatia mtiririko wa habari za huko nyuma.

..zaidi, maelezo ya ndani ya habari yanazungumzia Kenya, tofauti na kichwa cha habari kinachojumuisha East Africa.

..vilevile, mbona matukio ya ugaidi yalipotokea Uganda, Burundi, Zanzibar[hawapendi kujitambulisha kama wa-Tz] magazeti ya Kenya hayakuhusisha tukio hilo na Afrika Mashariki nzima?

..Kuhusu kumuangukia Kagame ili atoe msaada wa Kijeshi, hata mimi naunga mkono wazo hilo. Kwa kuanzia, East African Standby Force ambayo inahusisha Rwanda, ipelekwe ndani ya Somalia kusafisha mabaki ya Al Shabaab.

Ahahahha, mkuu. Kagame ni muoga sana. Hawezi kupeleka majeshi yake somalia. Anawadanganya tu wakenya kama wapo pamoja lakini anajua ule mwiba ule.....
 
Haya ni makosa yakimkakati. Wanachotaka ni kuichafua na Tanzania.... Mwambene upo?
 
..hata The East African Magazine wamekuja na headline " Why EAST AFRICA is a target of emboldened Al Shabaab" wakati huu ambapo shambulizi limetokea Kenya!!

..hawa ndugu zetu wana michezo michafu sana. kwa kweli kuishi na kushirikiana nao kunahitaji uvumilivu wa hali ya juu kabisa.
Mkuu Kenya wanataja EAC ili eneo lote lionekane halifai. Mashambulizi yametahiri sana utalii na nchi nyingi zimetoa tahadhari kwa wasafiri wake. Hivyo, Kenya inatumia jina la EAC ili iwe ni kwa ujumla

Umeona yaliyotokea Garissa, inashangaza watu waliokamatwa ni 5 na yupo 'inasemekana' mtanzania kwa jina la Rashid Charles Mberesero.

Katika wary 4 wanaoshikiliwa, hakuna aliyetajwa isipokuwa Mberesero tena Kenya wakishadidia ni Mtanzania
Neno Tanzania wamelitumia sana ili kuonyesha ubaya

Gaidi ni gaidi anaweza kuwa Mtanzania au mtu wa taifa lolote.

Nadhani Kenya wanapaswa kuhanganika na magaidi na ugaidi na wala si pale wanapotoka.

Nilitarajia Kenya wangewasiliana na vyombo vya ulinzi vya Tanzania ili kumbana Mberesero wanayesema alikutwa na grenade ili watuhumiwa zaidi wapatikane kutoka pande zote

Kinyume chake, Kenya wanatafuta excuse kwa kudhani kuitaja Tanzania kutasaidia hali ilivyo

Ni wagumu sana kuishi nao
 
Mkuu Kenya wanataja EAC ili eneo lote lionekane halifai. Mashambulizi yametahiri sana utalii na nchi nyingi zimetoa tahadhari kwa wasafiri wake. Hivyo, Kenya inatumia jina la EAC ili iwe ni kwa ujumla

Umeona yaliyotokea Garissa, inashangaza watu waliokamatwa ni 5 na yupo 'inasemekana' mtanzania kwa jina la Rashid Charles Mberesero.

Katika wary 4 wanaoshikiliwa, hakuna aliyetajwa isipokuwa Mberesero tena Kenya wakishadidia ni Mtanzania
Neno Tanzania wamelitumia sana ili kuonyesha ubaya

Gaidi ni gaidi anaweza kuwa Mtanzania au mtu wa taifa lolote.

Nadhani Kenya wanapaswa kuhanganika na magaidi na ugaidi na wala si pale wanapotoka.

Nilitarajia Kenya wangewasiliana na vyombo vya ulinzi vya Tanzania ili kumbana Mberesero wanayesema alikutwa na grenade ili watuhumiwa zaidi wapatikane kutoka pande zote

Kinyume chake, Kenya wanatafuta excuse kwa kudhani kuitaja Tanzania kutasaidia hali ilivyo

Ni wagumu sana kuishi nao

Hawa wakenya wana haki kufanyiwa hivi na al shabab hadi wapige magoti. Wacha wafe tu
 
wazungu wengi vichwa maji huwa hawajui africa kuna nchi nyingi,wanaichukulia africa ndo nchi moja
 
Back
Top Bottom