Wewe siulimsikiliza kivuruge lamomy, ukaamua kunipiga chini. Now natafuta wa kuniliwaza, upweke unanizidiaUmeanza tena
😍😍😍sawa nitafanya ivo
Ngoja kwanza basi hata afikie nusu ya sera zakeUmeanza tena
Weeee kimbia mbio huyu atakudisapoint Ana wamama watatu wanamleasasa hapa nakaa njia panda,, unasema kwel ili kunisaidia au ni kunionea wivu😥na nilishaanza kumcrush
sawa sawa,, asante mweeeee😥Weeee kimbia mbio huyu atakudisapoint Ana wamama watatu wanamlea
Usimsikilize kabisa huyo, Nia yake sio nzuri kwako 😅sasa hapa nakaa njia panda,, unasema kwel ili kunisaidia au ni kunionea wivu😥na nilishaanza kumcrush
Kwani uongooo???Wewe shindwa na ulegee, Yani ukiniharibia na hapa utatafuta pa kuniweka 😅😅
Ubaya huo ujue, Mimi nishachoka kuwa singoWeeee kimbia mbio huyu atakudisapoint Ana wamama watatu wanamlea
Muongo huyo. Mimi nikikupata wewe natulia kama maji ya kwenye mtungi vilesawa sawa,, asante mweeeee😥
UongoooooooooKwani uongooo???
UsijiteteeUongooooooooo
Basi yaisheNakwambia tena