Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi ngoja nianze mazoez ya kukucrushFanya kwel kabla baridi haijachanganyia
Nitaweza, vipi wewe utaweza kuvumilia pia?una uhakika utaweza kuvumilia
ngoja kwanza nianze kukucrush nitajua tuNitaweza, vipi wewe utaweza kuvumilia pia?
Moyo wangu umeuma tena, kumbe una crush mwingine zaidi yangu 🤦ngoja kwanza nianze kukucrush nitajua tu
sina na sijawahi miliki crush 😳😂Moyo wangu umeuma tena, kumbe una crush mwingine zaidi yangu 🤦
NimeshajijuaHatokuja kujijua nakuhakikishia😁😁
Nimemuona yupo kwenye Uzi huu huu. Itabidi umkane kwanza ili nipate amanisina na sijawahi miliki crush 😳😂
Thanks crushie, sema hapa kwenye marumbano siku mwenzako nayapenda kwel yan. Sijui wana JF wameniroga????Usivyopenda malumbano🥰🥰 ndio kabisaaaaa😍😍.
sawa nitafanya ivoNimemuona yupo kwenye Uzi huu huu. Itabidi umkane kwanza ili nipate amani
Si umeona sasa, yan narumbana hata na mi mwenyewe binafsi mpaka nachapia!!Hebu shusha pumzi,, relax then andika kwa utulivu.
Umeanza tenaNitaweza, vipi wewe utaweza kuvumilia pia?
Hahahaha 😂😂😂 basi sio wewe crush wake,, ngoja nifute waja wasione ulchoandikaSi umeona sasa, yan narumbana hata na mi mwenyewe binafsi mpaka nachapia!!
ndio nshasema sasa ,mimi ndio crush,atake asitake.Hahahaha 😂😂😂 basi sio wewe crush wake