Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
acha bwan wewe,,,hakuna crush hapaHaya mkuu..tusichat sana nikakupeperushia crush wako.
Enjoy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha bwan wewe,,,hakuna crush hapaHaya mkuu..tusichat sana nikakupeperushia crush wako.
Enjoy
Wewe nipe hiyo kazi, chap tu mambo yanakaa sawa kati yenu 😅Umeanza lini hii kazi ya kupiga rambling ndugu yangu😄
Mpaji Mungu slow down kwenye comments kuna crush wako kwenye huu uzi.Hapana uzi ndo ulikua unaandaliwa kwaajili yake crush
Muhimu sana kulijua hili maana Sasa khumalo ni mtego wa kunasa wanazuoni wanaotumia ID fake mitandaoni hata ephen ni offsir kipenyo mbwa yuleBaadhi ya wanaume waliondoka mapema kwenye Kile kikao lkn tukiwa pale nje katibu alisisitiza hakikisha ID yake inakua active mwaka mzima.
😂😂🙌🏾🙌🏾 najuta kuingiza utani apoMpaji Mungu slow down kwenye comments kuna crush wako kwenye huu uzi.
Niko ibadani, leo ni sabatoKaka habari ya mchana.
Huku umepotea njia kaka😎
Hapana kabisa,,sina crush humuUsikaze shingo ndugu yangu huwezi jua love connect ni wapi itakuwa connected 😄😄
Afadhali, kumbe ni utani. Maana roho yangu ilishaanza kuuma 😊😂😂🙌🏾🙌🏾 najuta kuingiza utani apo
Wallahi Leo tatembea nikiwa nimepiga magoti mikono inaita mvua kutoka nlipo mpaka mkoani kwenunilikua nakuandalia uzi hapa wa crush,,kama tayari wamesha ku crush,, ngoj nitafute another crush kisha nimcrush.
Hahahaha 😂 iambie itulie tuliiiiAfadhali, kumbe ni utani. Maana roho yangu ilishaanza kuuma 😊
Tulia hiii ni ya kwenye kikaoKama haiko active itakuwa sasa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Hahahaha aloooh kwanin ujitese ivoWallahi Leo tatembea nikiwa nimepiga magoti mikono inaita mvua kutoka nlipo mpaka mkoani kwenu