maji ya kwenye mtungi hutikisika pia yakitikiswaMuongo huyo. Mimi nikikupata wewe natulia kama maji ya kwenye mtungi vile
Eeh bwana...sijui nafanyaje!!Wacha weeee😁😁😁
Sio vizuri hivyo.....unanipeperushia ndege wangu ujue 🤦Usijitetee
Acha tu YaniYani mradi uteseke tu😁😁maisha haya
Mkuu tulia, hiii bahari ni kubwa mm nimeamua kufanya uvuvi, we safirisha makontena mwngn atavuna umeme😁Moyo wangu umeuma tena, kumbe una crush mwingine zaidi yangu 🤦
Mpaka yatikiswe sasa. Mimi nina Imani hutonitikisa 😘maji ya kwenye mtungi hutikisika pia yakitikiswa
Sawa mkuu.Mkuu tulia, hiii bahari ni kubwa mm nimeamua kufanya uvuvi, we safirisha makontena mwngn atavuna umeme😁
Too late umechukuliwa na nani kwani? 😀Too late