Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha basi 😅😅😅. Mbona krashi wake anajulikana humuMbona kama krashi mwenyewe ndo huyu 🙄
Nimeona kapewa kopa nkajua ni wewe kipenzi cha mishangaziAcha basi 😅😅😅. Mbona krashi wake anajulikana humu
Inabidi JF mnipe shangazi mmoja then nitulie. Nataka kuseto sasa...Nimeona kapewa kopa nkajua ni wewe kipenzi cha mishangazi
🤣🤣🤣🤣🙌Genye la asubuhi nasikia lina nguvu ya kuhamisha mlima
Tunaishi nao tu kibossHuwa wanajisahau wanatoa code wenyewe si unajua askari wengi hupenda sifa na wanataka kujulikana mitandaoni wamezagaa sana
Ujipatie mshangazi mmoja ukukabidhi funguo za harrier utulie zako.....Inabidi JF mnipe shangazi mmoja then nitulie. Nataka kuseto sasa...
Ewaaa, ila hata kama harrier hana, vitz pia sio mbaya.Ujipatie mshangazi mmoja ukukabidhi funguo za harrier utulie zako.....
Mmeshaitana sasa 😅Sina hamu nae huyo! Kanichezea usichana wangu halafu kaniacha
Una wakili?Muhimu sana kulijua hili maana Sasa khumalo ni mtego wa kunasa wanazuoni wanaotumia ID fake mitandaoni hata ephen ni offsir kipenyo mbwa yule
Mimi sihusiki nmemuuliza kwa msisitizo ni huyu huyu au mwingine?Yeye na wewe wote tukutane mahakamani!
Shukuru Mungu umeponaMimi sihusiki nmemuuliza kwa msisitizo ni huyu huyu au mwingine?
Hamna mshangazi unamiliki vits, yani hata kama ana 50 ana vits huyo ni uvccm tu 🤣🤣🤣🤣Ewaaa, ila hata kama harrier hana, vitz pia sio mbaya.