Nimefurahi sana inatakiwa tuwe na maneno ya kufariji.Nilipokua mdogo, kuna mama alikua mwanachama wa Legio Maria, alifariki siku ya Ijumaa Kuu, wakati wa misa ya mazishi Paroko alisema huyu mama kufariki Ijumaa Kuu ni bahati kubwa, siku aliyofariki Yesu Kristu.
Rais Magufuli laifariki katika mwezi wa Kwaresima, huu ni mwezi wa toba. Kifo katika mwezi huu kina maana kubwa. Ni ishara ya kusamehewa yote uliyoomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu.
Pumzika kwa amani Rais wetu, tumekusamehe na utusamehe. Duniani hakuna mkamilifu.
Alikuwa Mshauri wa Kikwete. Ni binti mtanzania mwenzetu nadhani yupo South Africa siku hiziWho is Elsie?
Ngoja niitafute Mkuu.
Nilipokua mdogo, kuna mama alikua mwanachama wa Legio Maria, alifariki siku ya Ijumaa Kuu, wakati wa misa ya mazishi Paroko alisema huyu mama kufariki Ijumaa Kuu ni bahati kubwa, siku aliyofariki Yesu Kristu.
Rais Magufuli laifariki katika mwezi wa Kwaresima, huu ni mwezi wa toba. Kifo katika mwezi huu kina maana kubwa. Ni ishara ya kusamehewa yote uliyoomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu.
Pumzika kwa amani Rais wetu, tumekusamehe na utusamehe. Duniani hakuna mkamilifu.
Huu ndio utu, sio kukomaa kurusha kejeli matusi na masimango Mungu akubariki sana njia yetu ni mojaNilipokua mdogo, kuna mama alikua mwanachama wa Legio Maria, alifariki siku ya Ijumaa Kuu, wakati wa misa ya mazishi Paroko alisema huyu mama kufariki Ijumaa Kuu ni bahati kubwa, siku aliyofariki Yesu Kristu.
Rais Magufuli laifariki katika mwezi wa Kwaresima, huu ni mwezi wa toba. Kifo katika mwezi huu kina maana kubwa. Ni ishara ya kusamehewa yote uliyoomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu.
Pumzika kwa amani Rais wetu, tumekusamehe na utusamehe. Duniani hakuna mkamilifu.
Tanzania’s five years of devastation under the presidency of John Pombe Magufuli
Africa did not mourn the passing of Idi Amin, Bokassa, Mobutu Sese Seko or, more recently, Robert Mugabe. It should not be mourning John Magufuli, a vicious tyrant who, with crude anti-imperialist phrase-mongering, masqueraded as a great African patriot while terrorising his countrymen and women...www.dailymaverick.co.za
Luka 16:13-31 Ibrahimu alimwambia tajiri aliye motoni, kama ndugu zako hawakumuamini Musa na mitume wengine hatakaa waamini.Bahati mbaya hatujui dini au dhehebu la Mungu.
Askofu Mwamakula anayekulaWho is Elsie?
Sawa mkuu inaonekana mkalimani alikua anasikia kiu 😁 😁Asante mkuu kwa niaba yetu ambao hatukutumia magari ya rangi ya njano.
Pia hongera kwa sababu hujawa kama mkalimani wa Dodoma
Oh. Interesting.Alikuwa Mshauri wa Kikwete. Ni binti mtanzania mwenzetu nadhani yupo South Africa siku hizi
Kwaresma za vatican ni ubatili, Yesu hakuwa Mzungu, Lucifer alibadilisha kalenda.Nilipokua mdogo, kuna mama alikua mwanachama wa Legio Maria, alifariki siku ya Ijumaa Kuu, wakati wa misa ya mazishi Paroko alisema huyu mama kufariki Ijumaa Kuu ni bahati kubwa, siku aliyofariki Yesu Kristu.
Rais Magufuli laifariki katika mwezi wa Kwaresima, huu ni mwezi wa toba. Kifo katika mwezi huu kina maana kubwa. Ni ishara ya kusamehewa yote uliyoomba msamaha kwa Mwenyezi Mungu.
Pumzika kwa amani Rais wetu, tumekusamehe na utusamehe. Duniani hakuna mkamilifu.