Dear our neighbours Kenyans

Dear our neighbours Kenyans

Complicator

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2013
Posts
2,198
Reaction score
3,580
Sisi ni ndugu
IMG-20190624-WA0036.jpeg
 
Ahaaa sasa mambo gani hayo ya kupiga ngumi za uso mpaka sura zinakuwa kama mapacha.
 
Ngumi zetu wenyewe zitamalizia kutumbua hayo mimacho
 
Hahaha! [emoji1] Ila sisi wakenya huwa hatuna muda wa kuzingatia yaliyopita. Champions wa Sportpesa Cup, Kariobangi Sharks watakuwa wanamenyana na timu ya Everton hivi karibuni.
1561111673.jpg
 
nyie mlicheza mzuri sana...ila algeria walifunga tu magoli

i swear kwa mpira ule mtaifunga egypt pia...then mtachukua afcon you poor kenyans
Hahaha ilaa Tz jana tulicheza mpira kama wa ajabu sijawah kuona
 
Wacha tuwalime hawa senegal. Nina amini ya kwamba tutawashinda hatakama kwenye karatasi wanakaa kama wao ni bora kutushinda hii yote ni utamu wa spoti timu ndugu ikishinda timu kubwa kama tu vile leo nigeria na madagascar.
 
Back
Top Bottom