Dearby ya Simba na Yanga kupigwa KMC complex

Dearby ya Simba na Yanga kupigwa KMC complex

mwakani naolewa

Senior Member
Joined
Jul 25, 2024
Posts
148
Reaction score
426
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga unatarajia kupigwa Oktoba 19 katika uwanja wa KMC comlex uliopo mwenge Dar es salaam, Imetolewa katika ratiba ya bodi ya ligi Tanzania (TPLB) leo inayoonyesha ratiba hiyo katika uwanja huo unaoweza kubeba mashabiki 6000 tu. Aidha pambano la Simba SC na Azam FC ambalo bado tarehe yake haijapangwa, litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Screenshot 2024-08-09 145721.png
 
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga unatarajia kupigwa Oktoba 19 katika uwanja wa KMC comlex uliopo mwenge Dar es salaam, Imetolewa katika ratiba ya bodi ya ligi Tanzania (TPLB) leo inayoonyesha ratiba hiyo katika uwanja huo unaoweza kubeba mashabiki 6000 tu. Aidha pambano la Simba CS na Azam FC ambalo bado tarehe yake haijapangwa, litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Wanaumwa hao
 
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga unatarajia kupigwa Oktoba 19 katika uwanja wa KMC comlex uliopo mwenge Dar es salaam, Imetolewa katika ratiba ya bodi ya ligi Tanzania (TPLB) leo inayoonyesha ratiba hiyo katika uwanja huo unaoweza kubeba mashabiki 6000 tu. Aidha pambano la Simba CS na Azam FC ambalo bado tarehe yake haijapangwa, litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.



Hiyo chenga hadi Simba wanaona kama Yanga wamezidi uwanjani 😅
 
Mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga unatarajia kupigwa Oktoba 19 katika uwanja wa KMC comlex uliopo mwenge Dar es salaam, Imetolewa katika ratiba ya bodi ya ligi Tanzania (TPLB) leo inayoonyesha ratiba hiyo katika uwanja huo unaoweza kubeba mashabiki 6000 tu. Aidha pambano la Simba CS na Azam FC ambalo bado tarehe yake haijapangwa, litapigwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam.

Ratiba imepangwa kutokana na uwanja wa nyumbani wa mwenyeji. Acheni kuandika na kucomment kwa mihemko.
 
Msimu huu Young anachukua maombe yote
 
KMC STADIUM INACHUKUA MASHABIKI 4500 HADI 6000 TU. HILO HALIWEZEKANI.
 
Back
Top Bottom