Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

mulisaaa

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2017
Posts
6,969
Reaction score
7,027
Kuna mtu huwa anatuletea hapa data za Zitto Kabwe...πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
IMG_20191001_153835.jpg
 
Nynyi mkifikisha 54 si mpka timu ya taifa itazuiliwa ikienda nje..manake kw kutolipa madeni hamjambo, zenu ni kuomba kusamehewa tu
Nchi fukara wa rasilimali na uchumi kama Kenya utashangaa wakikuambia mbona Japan inaongoza? Hapo ndio utajua njaa ya ubongo ina impact gani
 
Nchi maskini ya LDC kuwa kwenye 37% ni hatari sana.
 
Ndio maana Tanzania inaongoza kwa ujinga, ufukara, magonjwa, uchache wa infrastructure, uchache wa stima nk.
 
does that mean within the EAC Tanzania has lowest gdp to debt ratio? I cant see Burundi!
 
Back
Top Bottom