Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

Nyani haoni kundule .

Tanzania ukiangalia utajiri wake utapata kwamba 98% ya matajiri wake ni Waarabu na Wahindi.
Unaona unavyotapatapa?, Mimi ninazungumzia composition ya serikali yenu, ambayo inatoa picha ya athari za ukabila na " Nepotism", wewe unaleta habari za " Worth distribution ". Huko kwenye mgawanyo wa utajiri wa nchi, huko ndio usizingumze kabisa, Tanzania tunaongoza katika nchi zilizoko chini ya Jangwa la Sahara katika' Economic Inclusiveness", wakati Kenya ni nchi ya mwisho, hiyo habari ya uchumi wetu kutawaliwa na wahindi na warabu umeitoa wapi kama sio wivu?
 
Acha Maneno yako wewe, muulize Tony254 atakupa composition ya serikali yenu, tulishaletewa hapa na tukalijadili hilo, Tony254, alikubali hiyo list ni ukweli, 85% ni wakikuyu na Kalenjin tu.
Nipe source? Sio mijadala ya emotions! Hapa ni takwimu!
 
Hao uloniletea ndo wajaluo na mijikenda
Nimetaja makabila mangapi hapo juu?, acha kukimbia ukweli kwamba, watu wachache sana ndio wenye kumiliki uchumi wa Kenya, walio wengi ndio hao hapo niliokuonyesha.
 
Akili zenu ni ndogo sana, biashara nyingi hapo Nairobi zinamilikiwa na wakikuyu, kutokana na akili zenu kuwa ndogo, ulitaka niseme wakikuyu wote wanaishi Nairobi?,
Kw akili zake anafikiria wakikuyu wanaishi nairobi...na wakati wengi wao pia huishi central km wakulima...story za vijiweni bana...
.. umemkamata
 
I'll give you a credible one from the Public Service Commission. Ukipenda jisomee mkuu.
Hii source inasema kabila sita zimeshika 50% ya Kazi zote serikalini, kabila zilizobaki ndio zinagawana 50%. What a country is that?, are you really a civilized country?
 
Tuna two river mall na garden city hizi no kubwa kabisa ukanda huu....
Wapumbavu sana Hawa jamaa
yani Mtanzania anaweza kuita Mkenya Pumbavu kuhusu ukame?? ilhali nchi yetu ni 2/3 rds arid ,water strained, no substantial minerals , yet our production in every sector is bigger than yours?? while your country is almost green everywhere, huge water resources,minerals, political stability lakini bado nyinyi ni LDC... hiyo aibu ni kubwa hata kuliko njaa yetu..
 
Leta source ya hii 85%?

What I know is that the Kikuyus account for 22% of the government workforce while the Kalenjins are at 12.8% and the Luhyas at 12.2%!
Serikalini Kwa ngazi IPI? Kwenye ngazi za juu za uongozi wamejaa wakikuyu Na karenjini monkeys
 
Ukiona GDP ya Nairobi pekee yake karibu ifike ile ya Tanzania mzima na pia ukiongeza forex reserves za Kenya ni mara mbili ya forex reserves za Tanzania.

Hawa majangili wa ujamaa ndio nchi fukara halisi.
GDP ya Nairobi ni Kwa wazungu na vibalaka wakenya wachache
 
Kwani unataka kulia[emoji23][emoji23][emoji23] kwasababu ya njaa hapa Kenya?? Hebu lia kwa nguvu kwikwikwi! [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Failed State inakuhangaisha hivi?? Hebu tuma msaada kwa wenzet wa Turkana. [emoji23][emoji23][emoji23]
Kenya drinking force imeshindwa kutoa Gari lililo zama mita 10
Hawana wazamiaji wakati kuna video hapa mkituonyesha makomando wakwenye maji kumbe ni movie va kupika
Ambia kdf wakakojoe walale
 
Kw akili zake anafikiria wakikuyu wanaishi nairobi...na wakati wengi wao pia huishi central km wakulima...story za vijiweni bana...
.. umemkamata
Sasa ujui Kenya kumiliki ardhi ya kulima ni lazima uwe fisadi papa ndiyo hicho tunachosema mfana Uhuru ardhi anayo miliki na familia yake nikubwa sana.sasa wewe kabwela sodoma na gomora unamiliki heka ngapi ili uweze kulima hapo slum wakati hata pakupita hapana mnapishana kwenye vichochoro
 
Kenya drinking force imeshindwa kutoa Gari lililo zama mita 10
Hawana wazamiaji wakati kuna video hapa mkituonyesha makomando wakwenye maji kumbe ni movie va kupika
Ambia kdf wakakojoe walale
Umeme umerudi Dar? Mgao to 😂😂
 
Ukulima nao ni wa kumringishia mtu jaman ..
Sasa ujui Kenya kumiliki ardhi ya kulima ni lazima uwe fisadi papa ndiyo hicho tunachosema mfana Uhuru ardhi anayo miliki na familia yake nikubwa sana.sasa wewe kabwela sodoma na gomora unamiliki heka ngapi ili uweze kulima hapo slum wakati hata pakupita hapana mnapishana kwenye vichochoro
 
Back
Top Bottom