Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

Debt to GDP ratio globally Kenya is worse with 54%, Tanzania doing better with 37%

Duh!!umepindisha tena...haya leta hyo source hapa...

Hta twitter ukitaka nenda ukaokote utuletee
Hii source inasema kabila sita zimeshika 50% ya Kazi zote serikalini, kabila zilizobaki ndio zinagawana 50%. What a country is that?, are you really a civilized country?
 
Duh!!umepindisha tena...haya leta hyo source hapa...

Hta twitter ukitaka nenda ukaokote utuletee
Unaridhika kwa kabila sita pekee kuchukua 50% ya ajira zote, na watu elfu 10 pekee kushika 62% ya uchumi wa nchi nzima?
 
Ukulima nao ni wa kumringishia mtu jaman ..
Bwaaahhh muhulize huyu mtoto atakuambia kama ukulima in wakumringishia MTU au la
Screenshot_20191002-125859.jpeg
 
Ndege zenyewe zilikuwa mbovu si bora mnge zijaza baruti na kuzipolomosha Kwa all shababu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]imekuingia hyo..manake sio kw povu hilo[emoji382][emoji382]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wafanye fasta kabla hazijawalipukia wenyew
Ndege zenyewe zilikuwa mbovu si bora mnge zijaza baruti na kuzipolomosha Kwa all shababu
 
Mi najua tatu...hzo saba wazitaja wewe
Ujasikia kuwa zilisha nadiwa ndege 7 Kwa sababu ya madeni sasa shirika LA ndege Kenya linawana hisa hapo lazima ndege zinazo pigwa mnada ni pamojana zota za serikali
 
Back
Top Bottom