Debts collector

breaky

Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
79
Reaction score
26
NyakisasaEmpire &Brokers tunakusanya kutoka wadaiwa sugu na ya kawaida kwa malipo ya kawaida. Jaribu huduma yetu hutojutia.
 
Ebwana huduma yako nahitaji...kuna papuchi moja niliikopesha 300k mpaka leo mwaka wa pili hajanilipa naishi kugegeda tuu...unanisaidiaje hapo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ebwana huduma yako nahitaji...kuna papuchi moja niliikopesha 300k mpaka leo mwaka wa pili hajanilipa naishi kugegeda tuu...unanisaidiaje hapo?
[/QUOTE unaushahidi wa Maandishi boss?
 
Masharti ni lazima uwe na ushahidi usio na shaka juu ya deni tajwa.
Pili mdaiwa awe hai na ana makazi maalumu
Commission yetu ni 10% ya rejesho

Mfano sijui anakaa wapi..naruhusiwa kupeleka kazini kwake🤭
 

Sasa ushahidi wamaandishi nitatoa wapi wakati huo mkopo nilitoa wakati nagegeda mwanawane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…