Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko wapi?Kuna mshkaji wangu nilimkopa laki 1, leo mwezi wa sita hajanilipa, tumfanyeje?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebwana huduma yako nahitaji...kuna papuchi moja niliikopesha 300k mpaka leo mwaka wa pili hajanilipa naishi kugegeda tuu...unanisaidiaje hapo?
Ebwana huduma yako nahitaji...kuna papuchi moja niliikopesha 300k mpaka leo mwaka wa pili hajanilipa naishi kugegeda tuu...unanisaidiaje hapo?
[/QUOTE unaushahidi wa Maandishi boss?
Bei zenu zikoje..na masharti yenu ni yepi..hebu jieleze vyemaNyakisasaEmpire &Brokers tunakusanya kutoka wadaiwa sugu na ya kawaida kwa malipo ya kawaida. Jaribu huduma yetu hutojutia.
😆😆😆Yaani nna mtu namdai hela nahis kusurrenderNaombeni kazi ya kudai
Masharti ni lazima uwe na ushahidi usio na shaka juu ya deni tajwa.Bei zenu zikoje..na masharti yenu ni yepi..hebu jieleze vyema
Yuko wapi?😆😆😆Yaani nna mtu namdai hela nahis kusurrender
Moro..Yuko wapi?
Masharti ni lazima uwe na ushahidi usio na shaka juu ya deni tajwa.
Pili mdaiwa awe hai na ana makazi maalumu
Commission yetu ni 10% ya rejesho
Kituo chake cha kazi unakijua?Mfano sijui anakaa wapi..naruhusiwa kupeleka kazini kwake🤭
NakifahamuKituo chake cha kazi unakijua?
NyakisasaEmpire &Brokers tunakusanya kutoka wadaiwa sugu na ya kawaida kwa malipo ya kawaida. Jaribu huduma yetu hutojutia.
Tafuta ushahidi wa picha!Sasa ushahidi wamaandishi nitatoa wapi wakati huo mkopo nilitoa wakati nagegeda mwanawane
Unamanisha nn?Hii ndo inawakilisha aina ya service watakayotoa
Basi kazi inafanyikaNakifahamu