December 18: Diamond kwa Zari, Wema kwa Chameleon

Usishangae pamoja na domo kumdhalilisha huko ig akakubali kumrudia...

Angekua mdogo wangu ningemoa vitasa hadi akimbilie polisi

Hakika Mimi ningesha mjeruhi kabisa! Wema lazima amrudie Diamond
 
hahahaha
Mbona harushi picha?

Wema Hana papara mbona. Mtoto wa tandale amevijulia ukubwani ndo maana vinamtoa roho. Ndio mambo gani yale kumpeleka mama wa watu kwa tuzo south Africa akiwa rough vile?? Halima.kimwana alishindwa kumpitisha bi sandra saluni??
 
Dai kapata tuzoooooooo heheee naona nyota ya zarinah ni kibokoooooooo
 

Attachments

  • 1417292161578.jpg
    36.8 KB · Views: 249
Last edited by a moderator:
hahahaha kapata Mbili kwakweli nimefurahi habari hii imfikie Mwl Evelyn Salt maombi yamesikika!

Tutake radhii tutakee radhiiiii tutake radhiiiu sasa ni tatu yaan team kiba lazima wachambie pilipili mbuzi
 
Last edited by a moderator:
Tutake radhii tutakee radhiiiii tutake radhiiiu sasa ni tatu yaan team kiba lazima wachambie pilipili mbuzi

hahaha nimekutaka radhi
 

Attachments

  • 1417292636000.jpg
    57.3 KB · Views: 656
Ule mgauni sasa mbayaaaa haujanyooshwa, mtumbo umetuna Kama chura mjamzito. Bibi ivan amefulia kubali tu. Nguo ya kinondoni mtumbani ile. Hehehehehe mama diamond ametoka kuliko huyo witch lady
 
Ule mgauni sasa mbayaaaa haujanyooshwa, mtumbo umetuna Kama chura mjamzito. Bibi ivan amefulia kubali tu. Nguo ya kinondoni mtumbani ile. Hehehehehe mama diamond ametoka kuliko huyo witch lady

Jaman tuzoo jamaniii
 
Ule mgauni sasa mbayaaaa haujanyooshwa, mtumbo umetuna Kama chura mjamzito. Bibi ivan amefulia kubali tu. Nguo ya kinondoni mtumbani ile. Hehehehehe mama diamond ametoka kuliko huyo witch lady

Tatizo nyotaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…