warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
Khaaaa!!! Ebu nipe ubuyu vizur aiseeh maana nilikuwa busy na sakata la escrow kidogo
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii show ya Chamilion ni babu kubwa kabisa!
Khaaaa!!! Ebu nipe ubuyu vizur aiseeh maana nilikuwa busy na sakata la escrow kidogo
hahahahaha nakaa karibu na maji ya kuwasha! Muweke kwenye maombi Wema maana anapenda hadi amekuwa kipofu wa kupitiliza na anazidi kudharirishwa! Wakirudi kutoka Uganda wanarudiana!
UN summit a.k.a zari ze witch lady ( si baba watoto wake ni mchawi na yy amekubali kula hela ya uchawi) live bila 360 na filter. Ona alivyo na harara na makovu mdomoni hehehehehe mkivaa pampers msisahau kutoa airtime pia
Milioni ya Uganda Ina maana ni zaidi ya milioni ya tanzania
wakati wema anategemea pesa za mabwana kumuweka mjini Zari yy mambo safi so acha project iendelee. Likizo ndefu inaweza kuishia Uganda
Heheheh zari masikio sasa....mmmh
Nimesoma news za uganda wanasema Shoo ya chameleone ni mwishooooooo nasikia kiingilio milioni. Mtu wa kawaida hata kunusa hawezi. Kwa zari ndio affordable.
Najua Wema lazima atunze kuweka headlines. Akirudi atakuwa amechukuliwa na matajiri wa Uganda. Chuna buzi mama kwa raha zako kwa shida zao. Hata sisi tunataka kuchuna sema bahati hizo hatuna. CC Evelyn Salt
Kwa Tanzania ni kama laki tano au tatu!
Wengine wakihongwa sana tulaki tuwili......
Wamwache mtoto wa mwenzao
Kwa Tanzania ni kama laki tano au tatu!
Zari anategemea hela ya ivan na yeye muuza papuchi tu
Hela ya ug na Tz ipi Ina thamani kubwa? Nilijua sh ya ug iko juu ya yetu
626,656. Tzshs. Me nlidhani hela ya ug Ina thamani kuliko yetu kumbe nop.
Hata Mimi naweka mawazo yangu kwa fact. Si kama namchukia UN summit. Alafu kumbuka hata jina ulilomuita Wema linaonyesha tu how biased u a....uko so subjective linapokuja swala linalomhusu Wema. Nadhani hata yuleeeee swahiba wangu wa ukweeeee from another mother atakuwa anasoma hapa. Yeye ashajijua ila tuliapizana kupisha ngurue apite tunapokutana kwenye mada tata Kama hizi ili kulinda uswahiba.
Nimesoma news za uganda wanasema Shoo ya chameleone ni mwishooooooo nasikia kiingilio milioni. Mtu wa kawaida hata kunusa hawezi. Kwa zari ndio affordable.
Najua Wema lazima atunze kuweka headlines. Akirudi atakuwa amechukuliwa na matajiri wa Uganda. Chuna buzi mama kwa raha zako kwa shida zao. Hata sisi tunataka kuchuna sema bahati hizo hatuna. CC Evelyn Salt
Diamond siku akipiga show ya Laki6 lazima anunue gari kama hili halafu anawaja wabebiz wa project na dereva atakuwa lemutuz!