Hela zinazompa kibri zari ni za Ivan wala,si zake .. Cku ingine Fanya research..
Ni wazi hata huyu Zari ana hongwa tuu! Mimi nalia na diamond awe makini sana hayo mambo hayana mwisho! Mrembo by Nature tafadhali muombee Wema akili zimrudie!
Wema anaenda kwa party...kwanza chameleone na Mirror msanii wa endless fame wana project. Akifanya Wema maneno akifanya diamond ni sawa...double standards hizo. Huyo dimond ni sawa kutembea na mama yake? Mtu 39yrs/24 kweli?
Mbona mnaukataa ukweli? Kwenye Coop on coop na kwingineko waganda wanamtapika zari nyie watz kisa chuki binafsi zenu kwa watz wenzenu mnafagilia ujinga. Wema na zari ni km mkojo na mavi in terms of behavior. Kwa kifupi diamond ameyapakata majanga maana haitaishia tu kwenye ngoma ila hadi drugs atabebeshwa. I'm here mark these words.
Hela zinazompa kibri zari ni za Ivan wala,si zake .. Cku ingine Fanya research..
Dinazarde tena wewe unanivuruga ujue hehehe ntakupasuaaaaaaaaaaa sema tu nakuheshimu ujue. Kajala mzuri mbona aud hakupewa kadi na kodi ya nyumba ilitaka kumshinda juzi? Leo naandika tu full magazeti. Ntaandika na kujijibu mwenyewe
Heheheheh scoop on scooop wamesema K ya zari sawa na UN summit
Tanzania wamepita, uganda wamepita, Nigeria wamekula hapo, southafrica wamepita.....
Pia wamemshauri afanye kazi ili apate pesa ya kuhonga "sex boys/toys" wake
Ila wabongo wanamsifia hahahah
hahaaaaaaa nachekaje nikiangalia SOS, yule dada na ile sauti yake sasa
Heheheheh scoop on scooop wamesema K ya zari sawa na UN summit
Tanzania wamepita, uganda wamepita, Nigeria wamekula hapo, southafrica wamepita.....
Pia wamemshauri afanye kazi ili apate pesa ya kuhonga "sex boys/toys" wake
Ila wabongo wanamsifia hahahah
Daimond anajua kurusha watu roho jamaniii nimeiona hiyo selfie kwa hiyo sasa hiv kila atakapoenda zari yupo nyumaa hahhhhhaaaaa wema nae sijui atasafiru na nani tusubiriiiii
Ushajiunga Insta damwani
Badoo nimeona kwa sintah, hhhhaaaa itakua zari anamruhusu azipost kwenye blog yakee,ina maana na south bba zari ana project au biashara zake iwejee iwe siku aliyoenda dai nae ndio aende wacha movie iendeleee
Badoo nimeona kwa sintah, hhhhaaaa itakua zari anamruhusu azipost kwenye blog yakee,ina maana na south bba zari ana project au biashara zake iwejee iwe siku aliyoenda dai nae ndio aende wacha movie iendeleee
Badoo nimeona kwa sintah, hhhhaaaa itakua zari anamruhusu azipost kwenye blog yakee,ina maana na south bba zari ana project au biashara zake iwejee iwe siku aliyoenda dai nae ndio aende wacha movie iendeleee
Zari anaishi pia south Africa na anauraia au permanent permit km sikosei. Hata Ivan mganga wake wa kienyeji anaishi huko huko. Though na Uganda wana makao pia
atakua kaenda kupigwa mti tu huyu Zaitun Hussein
Diamond anarekodi wimbo na washiriki BBA
Mremboo eee mi simpendi zarii
Acha kunienjoy wewe tena mbele ya UN summit...na hivi Wema indirectly amehusika kwenye hii ishu ndo kabisaaa maharage utayaita nyama. Subiri mtafurahi wenyewe pale domo wako akianza kutokwa vipele..nakupostia pic ya UN summit akiwa na harara...no filter wala 360