December 18: Diamond kwa Zari, Wema kwa Chameleon

hahahahaha nakaa karibu na maji ya kuwasha! Muweke kwenye maombi Wema maana anapenda hadi amekuwa kipofu wa kupitiliza na anazidi kudharirishwa! Wakirudi kutoka Uganda wanarudiana!

Wema anajua anachokifanya
 
UN summit a.k.a zari ze witch lady ( si baba watoto wake ni mchawi na yy amekubali kula hela ya uchawi) live bila 360 na filter. Ona alivyo na harara na makovu mdomoni hehehehehe mkivaa pampers msisahau kutoa airtime pia

Heheheh zari masikio sasa....mmmh
 
Huko ist kuna page ya damothe great sijui ukimrekebisha domo utavurugumiziwa matusi utafikiri kazaliwa na domo baba mmoja mama mmoja watu wana hawana kazi kweli
 
Wengine wakihongwa sana tulaki tuwili......


Wamwache mtoto wa mwenzao


 
Last edited by a moderator:
626,656. Tzshs. Me nlidhani hela ya ug Ina thamani kuliko yetu kumbe nop.

Basi hata hivyo hela yao imepanda thamani kidogo ilitakiwa kuwa laki tano! Akizitumia huko Uganda ni hela nyingi sana! Hata hivyo hakuna Mtanzania ana weza piga show kwa kiingilio cha Laki 6 ni hela nyingi sana!
 
Diamond siku akipiga show ya Laki6 lazima anunue gari kama hili halafu anawaja wabebiz wa project na dereva atakuwa lemutuz!
 

Attachments

  • 1417196578047.jpg
    54.8 KB · Views: 148

Mrembo eeeee huyo swahiba hebu mtajeeeeer nami nimuoneeee
 

Hhhhhhhhhhaaaaaaaa,sasa mbona hao matajiri hadumu nao atawapata wengi lakini cha muhimu atafute na pesa yake uwezekano wa wema kua kibopa ni mkubwa mnooo,,,
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…