Declassified Intelligence Documents

MtamaMchungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
8,974
Reaction score
12,662
Nimekuwa nikishuhudia mashirika/idara za usalama za nchi nyingine particulary US and UK zikitoa baadhi ya classified intelligence documents baada ya kipindi fulani. Mfano mzuri ni documents za Area 51, ambazo zimekuwa desclassified mwaka 2013.

Najua Tanzania Intelligence Community[TISS, CMI etc] wamefanya mambo mengi sana kwa Tanzania na Africa kwa ujumla kuanzia mapambano dhidi ya ukoloni, vita ya Mozambique, vita nyingi za maziwa makuu[Uganda, Congo etc].

Je kuna utaratibu wowote wa ku-declassify hizi information au ndio zinabaki story tu za kusadikika time after time?Moshe Dayan,




Moshe Dayan,Phillemon Mikael
 

Wazungu na wamarekani siyo wajinga! Wametoa taarifq chache sana. Hawawezi kutoa taarifa zao zote za siri. Mfano hapo area 51 inasemekana walifanyia simulation ya kutua mwezini; je umeona mitambo walau picha za vifaa vilivotumika? Wanatpumbaza ilj tuone wao wanademokrasia ili na sisi tutoe zetu waanze kutubeza!
 

That is where my question is....

Hata hizo chache tumewahi kutoa? Au kila kitu kuhusu idara zetu za usalama ni siri milele?

Wakati mwingine, uwazi kidogo tu unaweza kubadilisha hata mitizamo kuhusu vyombo vyetu vya usalama. Jeshi letu lina heshima kubwa sana mbele ya wananchi (Kwa maoni yangu), ni shughuli zake kuonekana mbele ya wananchi mf Vita ya Kagera.

Tunajua idara yetu ya usalama wa taifa inafanya kazi sana lakini ni lini kumekuwa hata na info kidogo from reliable source about it past works, sometimes watu wanaishia kuwa na bad impressions kwa sababu ya hadithi za vijiweni na story za kung'olewa kucha lakini the real work that they do to secure our country goes unnoticed kabisa.
 
Labda ile ya Mtikila iliyosababisha oparesheni Kimbunga
Ha ha Siri Kari
^^
 

Ni kweli waweza kuwa na lengo zuri kwa upande wako lakini kila nchi ina utamaduni wake na kanuni zake katika utunzaji na ubadirishanaji wa taarifa zake. Mimi sioni kama kuna maana sana ya kufanya hiki unachotaka kufanyika kwa sasa, nasema hivi kwa maana gani, wanaweza kufanya hivi na watu tukaona au kusoma haya mambo yanayofanyika huko upande mwingine( Haya mambo yanayoendelea huko kila uchwao kuna mengine hayamezeki hata kwa mlenda) na mwisho wa siku hawa vijana tutaogopa hata kunywa nao bia, kucheza nao mpira au hata kushare nao mboga, hii itatufanya tuishi kwa wasiwasi sisi wenyewe huku mtaani kwa sababu vijana wetu ambao wapo kwenye hizi idara wengi wao wamesahau na hawazingatii standing order za ofisi zao mpaka kufikia kujitangaza baa au kwenye kumbi mbalimbali za sherehe. Nimalizie kwa kusema hivi "Ukitaka kujua madhara ya kuvujisha SIRI basi vujisha SIRI"
 
tanzania kila kitu ni siri ukigoogle unapata ramani nzima ya white house na kabla ya obama kulikuwa na mpango wa kuvisit white house mnatembea tu na kushangaa bustani ,sasa njoo kwenyeikulu za afrika utaishia kuiangaliakwa nje hata ukipiga picha kwa nje jamaa watakudaka na kukupora kamera ila kwa white house kupiga picha nje ya ikulu ruksa kwani fence yake ni ya vyma vya wazi ikulu inaonekana kirahisi ,sisi huku hujui hata Rais wako ana wanawake wangapi unabaki na tetesi mara mkuu kaoa kimya kimya ,kwa wazungu hata hapo south africa mahusiano ya marais yako wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…