MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Nimekuwa nikishuhudia mashirika/idara za usalama za nchi nyingine particulary US and UK zikitoa baadhi ya classified intelligence documents baada ya kipindi fulani. Mfano mzuri ni documents za Area 51, ambazo zimekuwa desclassified mwaka 2013.
Najua Tanzania Intelligence Community[TISS, CMI etc] wamefanya mambo mengi sana kwa Tanzania na Africa kwa ujumla kuanzia mapambano dhidi ya ukoloni, vita ya Mozambique, vita nyingi za maziwa makuu[Uganda, Congo etc].
Je kuna utaratibu wowote wa ku-declassify hizi information au ndio zinabaki story tu za kusadikika time after time?Moshe Dayan,
Moshe Dayan,Phillemon Mikael
Najua Tanzania Intelligence Community[TISS, CMI etc] wamefanya mambo mengi sana kwa Tanzania na Africa kwa ujumla kuanzia mapambano dhidi ya ukoloni, vita ya Mozambique, vita nyingi za maziwa makuu[Uganda, Congo etc].
Je kuna utaratibu wowote wa ku-declassify hizi information au ndio zinabaki story tu za kusadikika time after time?Moshe Dayan,
Moshe Dayan,Phillemon Mikael