INAUZWA Decoder ya internet kwa wenye smart Tv

INAUZWA Decoder ya internet kwa wenye smart Tv

chofachogenda

Senior Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
107
Reaction score
199
Nauza decoder ambayo itakusaidia kupata huduma ya internet kwa wenye TV za smart ingawa inaweza kutumika pia kwenye Laptop na desktop, inatumia line za mitandao yote ya simu. Being yake ni 50000 tu.

IMG_20210416_100421_3.jpg
 
Ni kama moderm kunakuwa na sehemu ya kuweka line ya simu ambayo itakusaidia unejiunga bando Kuna waya ambao unaconnect kutoka kwenye hicho kifaa kwenda kwenye TV then mnara utasoma unaconnect kwa hiyo unakuwa na uwezo wa kutumia app za kwenye TV yako kama vile Facebook, you tube, Netflix n.k kwa kutumia bando ha kwenye line uliyoweka ila cha kuzingatia ni lazima TV iwe smart TV. Lakini pia unaweza kutumia kwenye kompyuta au desktop sio lazima TV
 
Back
Top Bottom