Decorder ya Canal Plus

Wakati Msimu wa ligi mbalimbali Duniani ukiwa umerejea, Canal Plus inakuwezesha kuangalia mechi zote kubwa katika ligi mbalimbali Duniani kama UEFA, EPL, LALIGA, SERIE A, BUNDESLIGA, LIGUE 1 n.k kwa gharama nafuu kabisa!
Jipatie King'amuzi cha Canal Plus kwa 100k tu ushuhudie live mechi mbalimbali kwa ubora wa Full HD
0629439450
 
EPL leo (24 Aug, 2024) ndani ya Canal Plus
Brighton vs Man u
Man City vs Ipswich
Tottenham vs Everton
Aston Villa vs Arsenal
Lipia kifurushi (48k) ushuhudie mitanange hiyo na mechi nyingine kibao!
Kama unahitaji Decorder tuwasiliane: 0714209702
0629439450
 
Kuna ongezeko la channel za SUPERSPORT kwenye dekoda ya CANAL, ongezeko hilo linafanya channels za SuperSport kufika 4, ambazo ni;
SuperSport Football Plus, CH116
SuperSport Football, CH117
SuperSport EPL, CH118
SuperSport La Liga, CH119

Hivyo baada ya ongezeko hilo, kuna baadhi ya mechi za UEFA hazitarushwa kwenye CANAL, zitarushwa kwenye SuperSport kwani channel za CANAL hazitatosha sababu zitakuwa zinachezwa nyingi kwa wakati mmoja

Kifurushi cha kuona channels zote za SuperSport na CANAL kwa sasa ni 55,000 tu, hivyo mteja unashauriwa kununua kifurushi hiki kwa sasa ili kuepuka kukosa baadhi ya mechi za UEFA

Channel hizo za SuperSport pia zitakuwa zikirusha;
UEFA Champions League
UEFA EUROPA League,
UEFA Conference League,
CARABAO Cup,
FA Cup nk
Call/WhatsApp: 0756232301
 
Msiba rasmi kwa DSTV. Mwanetu mbona hukututonya mapema huu mchongo. Kuna uwezekano wa ku-upgrage kifurushi au ni vipi?

Kanali_
 
Halafu baadaye DSTHIEVES wakileta shida au kufungiwa mnaanza kulialia, nyinyi ndio mlifanya, IRIB, ARQ, SPORTS24 zitokomee gizani. Mambo ya FTA mpaka jamii forum, loh. Hapo ndipo wanaijeria wametuzidi akili wanakula kimyakimya
 
Mzigo wa Canal+ umefika, fanya mawasiliano tukutumie popote ndani ya Tz. Tunauza Dekoda tupu, dish unatumia lolote (Azam, Dstv, Startimes n.k)
NB: Mzigo umeanza kuadimika.
0756232301
 
Sasa hivi ni mwendo wa IPTV. Channel zipi zaidi ya elfu 20 na hizo za cannal zimo humo ..
 

Attachments

  • IMG_20240920_115937_082.jpg
    399.9 KB · Views: 18
Wakati Msimu wa ligi mbalimbali Duniani ukiwa umerejea, Canal Plus inakuwezesha kuangalia mechi zote kubwa katika ligi mbalimbali Duniani kama UEFA, EPL, LALIGA, SERIE A, BUNDESLIGA, LIGUE 1 n.k kwa gharama nafuu kabisa!
Jipatie King'amuzi cha Canal Plus kwa 100k tu ushuhudie live mechi mbalimbali kwa ubora wa Full HD
0714209702
.
 
Wakati Msimu wa ligi mbalimbali Duniani ukiwa umerejea, Canal Plus inakuwezesha kuangalia mechi zote kubwa katika ligi mbalimbali Duniani kama UEFA, EPL, LALIGA, SERIE A, BUNDESLIGA, LIGUE 1 n.k kwa gharama nafuu kabisa!
Jipatie King'amuzi cha Canal Plus kwa 100k tu ushuhudie live mechi mbalimbali kwa ubora wa Full HD
0714209702
 
Wakati weekend ya moto ikiwadia, weekend ya kurejea kwa Ligi mbalimbali Duniani...nawakumbusha wadau wangu kulipia ving'amuzi vvyenu vya Canal Plus. Kuna kifurushi cha 48k na cha 55k.
Kwa wale wasio na king'amuzi cha Canal Plus muda ndo huu jipatie king'amuzi (decorder) kwa 100k tu ufurahie EPL, LALIĜA, BUNDESLIGA, SERIE A, LIGUE 1, UEFA, EUROPA, CARABAO n.k kwa bei nafuu kabisa!
NB: Muda wa ving'amuzi Vvya Canal kuadimika ndo huu so jichukulie chako mapema.
Call/WhatsApp: 0629439450

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kwa wale wa Dar, Mzigo unapatikana mbezi beach (Mbezi juu) na zimebaki chache sana. Simu ziite wakuu. Mikoani (Mkoa wowote Tz) tunakutumia mzigo kwa uaminifu mkubwa.
0629439450
 
Kwa wale wanaouliza Dekoda inakuja na nini na nini, hivi ndivyo inavyokuwa.
 
Hiki hapa kingine cha Offer kwa siku ya leo. Nakitoa kwa 90k ila kwa leo tu. Nakutumia popote na utachagua mwenyewe kulipa pesa yote au kulipa nusu na kumalizia pesa iliyobaki ukikipokea.
Nasisitiza offer ni ya leo tu.
NB: Kinakuwa na offer ya masaa 24.
0629439450
#CanalPlus
 
Sasa mbona bei zako hazieleweki..
Huku kifurushi cha mwezi 48k unaona ligi zote kubwa kwingine umeandika 50k
Tukueleweje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…