... jamii imejifunza kitu.OK
Ni Faida gani umepata usingemtaja Msukuma
Ni hasara gani ungepata kwa kukaa kimya
Baada ya kumtaja taja Msukuma, Je kuna Maendeleo yeyote umeyapata
Msukuma ndiye aliyemzulia fitna Magufuli akamtumbua wakati alikuwa kiongozi mzuri wewe ndio umuulize Msukuma kwanini alimpiga fitna huyo kiongozi leo Ilemela inafanya vizuri chini ya Ukurugenzi wake baada ya kurejeshwa na Rais SamiaOK
Ni Faida gani umepata usingemtaja Msukuma
Ni hasara gani ungepata kwa kukaa kimya
Baada ya kumtaja taja Msukuma, Je kuna Maendeleo yeyote umeyapata
Kazi zake DED Eng. Modest Apolinary zinajionyesha zenyewe hazihitaji machawa kama wa Msukuma na walamba asali wenzakeHawa ma DED wa sasa nimegundua asilimia kubwa ni wavulana na wasichana, hivyo wameanza mchezo wa kutafuta chawa wao ili wawasifie kwenye mitandao ya kijamii na magazetini.
Hiyo ni Id ya DED mwenyeweOK
Ni Faida gani umepata usingemtaja Msukuma
Ni hasara gani ungepata kwa kukaa kimya
Baada ya kumtaja taja Msukuma, Je kuna Maendeleo yeyote umeyapata
Kama kazi zako ni mzuri fungua kampuni yako uonyeshe mfanoKazi zake DED Eng. Modest Apolinary zinajionyesha zenyewe hazihitaji machawa kama wa Msukuma na walamba asali wenzake
Ni wapiga dili tupu hawana loloteHawa ma DED wa sasa nimegundua asilimia kubwa ni wavulana na wasichana, hivyo wameanza mchezo wa kutafuta chawa wao ili wawasifie kwenye mitandao ya kijamii na magazetini.
Anajipigia promo snDED Pamoja na kujianzishia thread zako humu, nikukumbushe kwamba mradi ulianza kwa wazo na hela za JPM. Pili DED punguza promo!
Wapuuzi, wakiondolewa katika hizo nafasi hata kufuga kuku hawawezi wanaishia kujipa promo za ajabu ajabu hapa kwa lengo la kuteuliwa zaidi au kupanda vyeo.Anajipigia promo sn
Hana lolote ni tapeli tupuWapuuzi, wakiondolewa katika hizo nafasi hata kufuga kuku hawawezi wanaishia kujipa promo za ajabu ajabu hapa kwa lengo la kuteuliwa zaidi au kupanda vyeo.
Kama ana great mind hivyo, basi aanzishe mradi wake au biashara ikue kubwa ipate promo kama hiyo ndio atajua hajui.
Ata Sauli aligeuka kutoka ubaya kwenda kuwa mtumishi wa bwana......
Ndiyo kusema ashukuru sana kule kutumbuliwa ilikuwa bonge la skuli kwake. Nimewasoma, wakuu. Kunyweni hapo maji ya uhai, at your own cost.🙂 Nakuja tu kuwasalimia mie. 🙂Baada ya kukaa bench amejifunza kutokana na makosa.
Ndo yule wa V8, Kama ndo huyo UmePotoka ni kweli alisimamishwa Na mwendazake, baada ya Muda Mfupi mwendazake alimrudisha na kumuambia amemsamehe, hangaya kambadilisha kituo tuAliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Geita Vijijini Eng. Modest Apolinary aliyetumbuliwa na Hayati Dkt. John Magufuli baada ya kupigwa fitna za uongo na Mbunge Kasheku Musukuma sasa anaonekana kufanya mageuzi makubwa katika Manispaa ya Ilemela baada ya kurejeshwa na Rais Samia Suluhu Hassan.
Hiii ni fedheha kubwa sana kwa Msukuma kupenda kusingizia watu na kuwafanyia fitna kwa watawala.