Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Uko sahihi, mkuu. Kuna watu wana kumbukumbu afadhali hata ya panzi. Wao ilimradi wameropokwa tu, hawaangalii ukweliNdo yule wa V8, Kama ndo huyo UmePotoka ni kweli alisimamishwa Na mwendazake, baada ya Muda Mfupi mwendazake alimrudisha na kumuambia amemsamehe, hangaya kambadilisha kituo tu