DED Manispaa ya Morogoro mbona Devotha Minja ulimuweza, unashindwa nini kupambana na mchwa wala rushwa za leseni za biashara?

DED Manispaa ya Morogoro mbona Devotha Minja ulimuweza, unashindwa nini kupambana na mchwa wala rushwa za leseni za biashara?

DT125

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2011
Posts
437
Reaction score
637
Maafisa biashara wanaofunga maduka ya wafanyabiashara wasio na leseni za biashara au ambaio leseni zimeisha wanachukua rushwa ya TZS 20,000. Ukishindwa wanafunga duka mpaka utakapo wapelekea wanakuja kufugua. DED fanya kazi kama Mhe. Magufuli pita Kata zote walizopita maafisa biashara wako utakuta maduka yako wazi bila leseni Na ufanye hivyo bila kutoa taarifa.

Ukitoa taarifa watawapigia simu. Jana nikiwa bar moja iitwayo Pema Pub Kata ya Mkundi kandokando ya barabara ya Morogoro - Dodoma tukisubiri msafara upite tukielekea Dodoma tulisikia mazungumzo ya afisa biashara wakiamuru bar hiyo ifungwe na wakaweka kufuri zao kwa maelezo kuwa leseni ya bar hiyo imeisha yangu Septemba.

Baada ya kupigiwa mmiliki wa bar hiyo dakika chake alirudi na afisa aliyekuwa anafunga akiwa kwenye gari yake na kufungua tena bar hiyo. Vyombo vya usalama, Takukuru na polisi kama tumeshafanikiwa kupambana na kufuta upinzani turudi kwenye kazi zetu sasa za kupambana na wala rushwa.
 
Maafisa biashara wanaofunga maduka ya wafanyabiashara wasio na leseni za biashara au ambaio leseni zimeisha wanachukua rushwa ya TZS 20,000. Ukishindwa wanafunga duka mpaka utakapo wapelekea wanakuja kufugua. DED fanya kazi kama Mhe. Magufuli pita Kata zote walizopita maafisa biashara wako utakuta maduka yako wazi bila leseni Na ufanye hivyo bila kutoa taarifa. Ukitoa taarifa watawapigia simu. Jana nikiwa bar moja iitwayo Pema Pub Kata ya Mkundi kandokando ya barabara ya Morogoro - Dodoma tukisubiri msafara upite tukielekea Dodoma tulisikia mazungumzo ya afisa biashara wakiamuru bar hiyo ifungwe na wakaweka kufuri zao kwa maelezo kuwa leseni ya bar hiyo imeisha yangu Septemba. Baada ya kupigiwa mmiliki wa bar hiyo dakika chake alirudi na afisa aliyekuwa anafunga akiwa kwenye gari yake na kufungua tena bar hiyo. Vyombo vya usalama, Takukuru na polisi kama tumeshafanikiwa kupambana na kufuta upinzani turudi kwenye kazi zetu sasa za kupambana na wala rushwa.
Ilipofungwa ulifurahi kwani ulipata sababu ya kushindwa kununua via, haukuwa na pesa zaidi ya hiyo ya bia moja, sema tu ukweli wako.
 
Maafisa biashara wanaofunga maduka ya wafanyabiashara wasio na leseni za biashara au ambaio leseni zimeisha wanachukua rushwa ya TZS 20,000. Ukishindwa wanafunga duka mpaka utakapo wapelekea wanakuja kufugua. DED fanya kazi kama Mhe. Magufuli pita Kata zote walizopita maafisa biashara wako utakuta maduka yako wazi bila leseni Na ufanye hivyo bila kutoa taarifa. Ukitoa taarifa watawapigia simu. Jana nikiwa bar moja iitwayo Pema Pub Kata ya Mkundi kandokando ya barabara ya Morogoro - Dodoma tukisubiri msafara upite tukielekea Dodoma tulisikia mazungumzo ya afisa biashara wakiamuru bar hiyo ifungwe na wakaweka kufuri zao kwa maelezo kuwa leseni ya bar hiyo imeisha yangu Septemba. Baada ya kupigiwa mmiliki wa bar hiyo dakika chake alirudi na afisa aliyekuwa anafunga akiwa kwenye gari yake na kufungua tena bar hiyo. Vyombo vya usalama, Takukuru na polisi kama tumeshafanikiwa kupambana na kufuta upinzani turudi kwenye kazi zetu sasa za kupambana na wala rushwa.
Kwani huyo Devotha Minja ni mchwa?!
 
Ilipofungwa ulifurahi kwani ulipata sababu ya kushindwa kununua via, haukuwa na pesa zaidi ya hiyo ya bia moja, sema tu ukweli wako.
Hahaha. Na aache kuchongea watumishi, waliofanikisha ushindi wa kishindo. Mishahara haitoshi hawajapata nyongeza ya mshahara wanaingia mwaka wa 6 sasa huku Heslb wakiramba 15% kwenye mishahara yao kiduchu.. TRA tu ndiyo hawapokei rushwa ndogondogo sababu maslahi yao alhadulilah.
 
Hahaha. Na aache kuchongea watumishi, waliofanikisha ushindi wa kishindo. Mishahara haitoshi hawajapata nyongeza ya mshahara wanaingia mwaka wa 6 sasa huku Heslb wakiramba 15% kwenye mishahara yao kiduchu.. TRA tu ndiyo hawapokei rushwa ndogondogo sababu maslahi yao alhadulilah.
Ilipofunguliwa aliondoka, eti alisusa!
 
Ilipofungwa ulifurahi kwani ulipata sababu ya kushindwa kununua via, haukuwa na pesa zaidi ya hiyo ya bia moja, sema tu ukweli wako.
Uko sahihi. Kadi ya mshahara ATM nimeiweka reheni kwa mangi pesa ya riba. Laki kwa laki na nusu.
 
Baada ya kupigiwa mmiliki wa bar hiyo dakika chake alirudi na afisa aliyekuwa anafunga akiwa kwenye gari yake na kufungua tena bar hiyo.
Tukio linaweza kuwa la kweli lakini kwa maelezo yako ya namna hii ambapo umeshindwa kudhibitisha matukio uliyoyaeleza bila ushihidi usiotiliwa mashaka, basi inawezekana unavisa na watu wa 'Mkurugenzi'
 
Tukio linaweza kuwa la kweli lakini kwa maelezo yako ya namna hii ambapo umeshindwa kudhibitisha matukio uliyoyaeleza bila ushihidi usiotiliwa mashaka, basi inawezekana unavisa na watu wa 'Mkurugenzi'
Hapana Mkuu, nina visa na wala rushwa. Ushahidi nimeweka mmoja tu wa hiyo bar nilipokuwa. Nimeitaja kwa jina na muda wa leseni yake ilipoisha kutokana na maelezo ya wakagua leseni hao. Tatizo watumishi hao waliingia kwa mkwara na vitisho ili wapate rushwa. Haikuwepo sababu ya kuhojiana kwa sauti mbele yetu kwa majigambo eti serikali ya mhe. Magufuli haiangalii sura ya MTU wala cheo cha mtu katika kukusanya kodi. Nadhani wao wanajua bar ni ya nani na labda wana visa na huyo mmiliki. Kilichonishangaza kabla wateja hawajaondoka mmoja wao aliyekuwa na kibegi cha kufuli anakuja tena na mmiliki wa bar hiyo kwenye gari yake.kufungua tena. Muda wa kazi umeshaisha kwani ilikuwa karibu SAA 10 jioni haiwezekani awe ameshalipia ndanu ya muda huo mfupi. Kutafuta rushwa kwa kumpamba Rais Magufuli ndiyo kiliniudhi. Wala watumishi hao wala DED wao siwajui.
 
Kwani huyo DED ni mtoto wa nani?
Umefananisha Mkuu. Mwanae ni DAS wa wilaya Morogoro, kazi isiyo na pressure labda uingie kwa pupa mjini kama yule dogo wa Kisarawe.
 
Kwa sasa hakuna kusumbuana maana walobaki wote ni ndg wa damu maana wapo ndani ya chama kimooja hivo kila mwenye nafasi ale kulingana na nafasi yake
 
Maafisa biashara wanaofunga maduka ya wafanyabiashara wasio na leseni za biashara au ambaio leseni zimeisha wanachukua rushwa ya TZS 20,000. Ukishindwa wanafunga duka mpaka utakapo wapelekea wanakuja kufugua. DED fanya kazi kama Mhe. Magufuli pita Kata zote walizopita maafisa biashara wako utakuta maduka yako wazi bila leseni Na ufanye hivyo bila kutoa taarifa.

Ukitoa taarifa watawapigia simu. Jana nikiwa bar moja iitwayo Pema Pub Kata ya Mkundi kandokando ya barabara ya Morogoro - Dodoma tukisubiri msafara upite tukielekea Dodoma tulisikia mazungumzo ya afisa biashara wakiamuru bar hiyo ifungwe na wakaweka kufuri zao kwa maelezo kuwa leseni ya bar hiyo imeisha yangu Septemba.

Baada ya kupigiwa mmiliki wa bar hiyo dakika chake alirudi na afisa aliyekuwa anafunga akiwa kwenye gari yake na kufungua tena bar hiyo. Vyombo vya usalama, Takukuru na polisi kama tumeshafanikiwa kupambana na kufuta upinzani turudi kwenye kazi zetu sasa za kupambana na wala rushwa.
Haya sijui ya DED na Devotha Minja ni 'Kutuzuga' tu na wenye Akili tumejua nia yako hasa ni 'Kuipromoti' hiyo Baa yako ya 'Pema Pub' na Hongera.
 
Back
Top Bottom