DED wa Gairo asimamishwa kazi kupisha uchunguzi wa tuhuma za wizi wa mabati zinazomkabili

Hii ni non-issue. Watuambie Mkurugenzi ndugu yake Magufuli alieua Msabato kanisani nini kinaendelea. Mabati yamerudishwa tunaweza kuendelea, na uhai uliotolewa je?
Halafu kweli,hile kesi iliishiaga wapi, au alitolewaga kinyemela
 
Kuuliza so ujinga wanandugu huyu ndo Asajile aliyekuwa Vodacom kipindi fulani nyuma ama majina kufanana? Mwenye kumfahamu snipe mrejesho.
 

Huyu mnyambala ametisha...kuiba mabati tena???
 
CCM kumesheheni MAJAMBAZI tupu, ni suala la muda tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…