Leo sept 10, 2021 waziri wa nchi, ofisi ya Rais-Tamisemi
Mhe. Ummy mwalimu amemsimamisha kazi aliyekuwa mkurugenzi wa gairo
bw. Asajile Mwambambale kupisha uchunguzi wa tuhuma za wizi wa mabati anayodaiwa kuiba na wenzake wakati akiwa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya kilosa kabla ya kuhamishiwa halmashauri ya gairo mkoani morogoro.
Taarifa ya kuhusu kusimamishwa kwa mkurugenzi huyo hii hapa,
View attachment 1931947
Pia soma,
Thread 'Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo akamatwa na Polisi kwa tuhuma ya wizi wa mabati'
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Gairo akamatwa na Polisi kwa tuhuma ya wizi wa mabati
Thread 'Ni jambo la kushangaza kwa Mkurugenzi aliyeiba mabati kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu'
Ni jambo la kushangaza kwa Mkurugenzi aliyeiba mabati kuendelea kuwa ofisini hadi muda huu