Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende anakostahili. Dhihaka kwa waTZ dhidi ya uchafuzi mkuu 28/10/2020 ni dhambi isiyovumilika. Mungu hadhihakiwi.View attachment 1703408
Kama ulisimamia haki wakati wa uchaguzi u R.I.P
Mie nachokumbuka kabla ya ujio wa corona, hakuna DED aliwahi kufa hapa tz!!!Ngoja waje watasema siyo Corona.
Apumzike kwa amani.
Wewe je⁉️⁉️Na Kuna wanaosubiri kuteuliwa katika nafasi hii.”
Na Kuna wanaosubiri kuteuliwa katika nafasi hii.”
Huku akiwa na masanduku yaliyojaa kura za NDIYO feki. Sasa covid 19/21 kaingia kuzihesabu hizo kura.Amekufa bila kupingwa.
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!Hawa walihakikisha diwan na mbunge ni mataga kwa kuchaguliwa au kulazimisha.
Hili babalao.Mie nachokumbuka kabla ya ujio wa corona, hakuna DED aliwahi kufa hapa tz!!!
Wa kwanza wewe tayari!Wapuuzi wachache watasema Korona
Tukiongea tunawekwa ndani, tunapotea na kuuwawa. Uchaguzi haikua wa haki na hii ni sehemu ya kutoa hisia zetu.Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Kuna mfadhili wa chadema alikufa juzi Kati nae aliwanyima haki ndipo akafa?Tukiongea tunawekwa ndani, tunapotea na kuuwawa. Uchaguzi haikua wa haki na hii ni sehemu ya kutoa hisia zetu.
Umeshakufa, kuwekwa ndani na kupotea lini tangu uanze kuwa mwanasiasa uchwara?Tukiongea tunawekwa ndani, tunapotea na kuuwawa. Uchaguzi haikua wa haki na hii ni sehemu ya kutoa hisia zetu.