TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

wapi na wapi waliingiza kura kweny mabegi!? kwani lini upinzan walizuiwa kutumia wasanii kujaza uwanja!?
Mmh mawakala wa wapinzani ilikua mbinde kuapishwa na matokeo ya litangazwa na DED baada ya kuongezewa viungo. Haukua uchaguzi. Sasa waliowapa ushindi wanaondoka.
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Kwa Amani ipi!? Yuda iskariote anapumzikaje kwa Amani...

Yesu alisema Ole wake atakayemsaliti Mwana wa Adamu....!!!

Ded akastahili yanayomstahili....to hell[emoji41][emoji25][emoji25]
 
upinzani ubadilike kwanza, Kama utaendelea huu huu wa kinjaa njaa basi watakaa milele madarakani
Upinzani huu huu ikiwepo Tume huru mnagaragazwa asubuhi.
Hamna aibu mnataka kujichagualia aina ya upinzani!
Bora mkae kimya mfe mmoja baada ya mwingine.
 
Mm naona tatizo ni juma , ndo aliiba kura hawa ma DED ni innocent
 
nawewe utafuata tu
Nipo njia moja!
Ila nyie muweke mambo sawa,kabla hamjaondoka mkaisha hakikisheni mnawakabidhi familia za kina Ben, Azori na wengine makaburi ya wapendwa wao ili nao wafanyiwe ibada, wayajengee na kuyatunza.
 
Kuna faida gani kuyapata yote duniani kwa ghiriba huku ukiiangamiza roho?
Bible
Duniani Utapata Yote, Mbinguni Uzima Wa Milele
Sasa Kama Ulifanya Fitna Hapa Duniani Ndugu Zangu
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Ww ni matanga pia.
 
Back
Top Bottom