chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
Waliodhurumiwa mahakama ziko wazi kwa ajaili ya kudai haki,sio mitandaoniUkweli utabaki kuwa ukweli ma DED walidhurumu haki wakati wa uchaguzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliodhurumiwa mahakama ziko wazi kwa ajaili ya kudai haki,sio mitandaoniUkweli utabaki kuwa ukweli ma DED walidhurumu haki wakati wa uchaguzi.
Kumbe mnajuwa ya kuwa hakuna atakaebaki kuilinda dunia mpaka mwisho ila nyie mnafanya mambo utafikili mtaishi milele...Mkotayali watu wafe ili mludi madalakani....wacha tupongeze to kwa vfo...mkae mkijuwa hakuna takaeishi milele...Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
aliyewaponza ni yule bwana wenu wembo,chief CEO wa kampuni yenu .Kumbuka tu kuwa kila kitu kina mwisho wake, hamtakua madarakani milele.
hao wanaofanya haya wote,hawana akili sawasawa,na hawajui wasemalo wala waandikalo,nakumbuka mleta uzi aliwahi kufurahia ule uvumi wa kifo cha maghufuli 2019,nikajua hana akili;Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Hakika.Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
daa watu mmejaa chuki,mpaka zimewadi uzito!!! huu ni msiba eti.Hawa ndiyo walikuwa vibaka wa kuiba kura!
Na haiwez kutokea.Hakika.
Tumuombee Baba kwa kweli aishi na amalize muda wake kwa amani.
Nawaza kama siku likitokea LA kutokea,kama huyo ni Ded tu inakuwa hivyo, je siku Baba mwenye house akatanguliza mmbele itabidi internet izimwe kwa muda mrefu.
Amina,kwani yeye alishapata chanjo tayari.Na haiwez kutokea.
Msiba wa mtu mmoja wakati yeye alisababisha msiba wa Taifa zima?Unaelewa ni watu wangapi wanakufa kwa Corona kwa sababu ya Magufuli kuwa ikulu kwa kupitia kura fake?daa watu mmejaa chuki,mpaka zimewadi uzito!!! huu ni msiba eti.
Tenda haki duniani upate ufalme wa Mungu vinginevyo jehanamu ni haki yakoHizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Watu bado tunamachungu ya uchaguziView attachment 1703408
Kama ulisimamia haki wakati wa uchaguzi u R.I.P
Wewe sky na kundi lko unaonekana nishetani aliyevaa ubinadam.Amekufa bila kupingwa.
Wewe sky na kundi lko unaonekana nishetani aliyevaa ubinadam.Amekufa bila kupingwa.
Huu ndio upuuzi wenyewe. Umejuaje kama sio COVID19?Wapuuzi wachache watasema Korona