TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Kumbe mnajuwa ya kuwa hakuna atakaebaki kuilinda dunia mpaka mwisho ila nyie mnafanya mambo utafikili mtaishi milele...Mkotayali watu wafe ili mludi madalakani....wacha tupongeze to kwa vfo...mkae mkijuwa hakuna takaeishi milele...
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
hao wanaofanya haya wote,hawana akili sawasawa,na hawajui wasemalo wala waandikalo,nakumbuka mleta uzi aliwahi kufurahia ule uvumi wa kifo cha maghufuli 2019,nikajua hana akili;
binadamu kamilifu,huwezi kufurahia kifo cha adui yako,najua huyo mama ni mkristo,aangalie Daudi alifanya nini aliposikia mfalme sauli amekufa?,
yaani nasikitika sana utu umeondoka ndani yetu hasa wapenzi chadema,kwani mtu kufa itakupa wewe faida gani?,unapata nini na points ngapi chanya kwenye maisha yako kwa kifo cha mwingine?,iwe ni corona isiwe corona mbona mmekuwa wabaya kuliko baba wa mabaya mwenyewe?,
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Hakika.
Tumuombee Baba kwa kweli aishi na amalize muda wake kwa amani.

Nawaza kama siku likitokea LA kutokea,kama huyo ni Ded tu inakuwa hivyo, je siku Baba mwenye house akatanguliza mmbele itabidi internet izimwe kwa muda mrefu.
 
Hakika.
Tumuombee Baba kwa kweli aishi na amalize muda wake kwa amani.

Nawaza kama siku likitokea LA kutokea,kama huyo ni Ded tu inakuwa hivyo, je siku Baba mwenye house akatanguliza mmbele itabidi internet izimwe kwa muda mrefu.
Na haiwez kutokea.
 
Mbona corona hii inaua vifaranga tu kwanini isimpige jogoo akadondoka?
 
daa watu mmejaa chuki,mpaka zimewadi uzito!!! huu ni msiba eti.
Msiba wa mtu mmoja wakati yeye alisababisha msiba wa Taifa zima?Unaelewa ni watu wangapi wanakufa kwa Corona kwa sababu ya Magufuli kuwa ikulu kwa kupitia kura fake?
 
Kudhulumu haki za wengine ni chukizo kwa Mola wetu.
Tukumbuk kuna kiama na dhambi ya kudhulumu huwezi kuingama tena.
Mbele ya haki utakwenda kuitumikia hii dhambi jehenam milele na milele.
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Tenda haki duniani upate ufalme wa Mungu vinginevyo jehanamu ni haki yako
 
Mleta uzi hujatuambia yule aliyewekwa kimada uberigiji anaendereaje na tatizo lake la upumuaji.
Mzee wa faru john nae hujatuambia mbn harudi kutoka huko alikoifuata chanjo ya covid.
Ukienderea tutaweka wz kila k2.
 
Back
Top Bottom