TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

Aende anakostahili. Dhihaka kwa waTZ dhidi ya uchafuzi mkuu 28/10/2020 ni dhambi isiyovumilika. Mungu hadhihakiwi.
kwamba amefariki sababu hiyo[emoji16][emoji16][emoji16].

ukifa wewe unakuwa umekufa kwa kosa gani!!!!
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
mkuu hakuna ugonjwa mbaya kama kuishiwa sera na hoja, ndio hali waliyonayo hao wagonjwa wa akili.

tuwasamehe tu.
 
Tukiongea tunawekwa ndani, tunapotea na kuuwawa. Uchaguzi haikua wa haki na hii ni sehemu ya kutoa hisia zetu.
Mungu hachangamani na wanafiki wala hachaguliwi cha kufanya.

ni kujifatiji tu mnafanya kama ulivyoandika hapa.
 
Kumbuka tu kuwa kila kitu kina mwisho wake, hamtakua madarakani milele.
hata kushindwa kwako kuna mwisho.l, hakutadumu milele.

utakufa ukiwa umeshindwa hivyo hivyo, au utashinda kisha ndipo ufe.

lakini mwisho wako lazima uwepo.
 
Kumbuka tu kuwa kila kitu kina mwisho wake, hamtakua madarakani milele.
Tutafute ufalme wa Mbinguni kwanza. Haya mengine mtayapata tu. Hawa wameamua kutafuta ufalme wa duniani kwa kuwaweka wabunge na madiwani wasio chaguo la wananchi . Korogwe Kuna diwani mmoja hata angegombea peke yake asingepata Kura hata tano. Cha ajabu dogo wa Chadema hakutangazwa.
Tuheshimu uamuzi wa wananchi maana sauti ya wengi Ni sauti ya Mungu.
 
Kati ya hao wapuuzi wachache wa kwanza ni wewe. Hv we ndo ulikuwa BOT ehee?
Huyo Yuko BOT mkuu?
Atakua alifanyiwa intavyuu na Liyumba nyumbani kwa Liyumba.
Kwa akili yake hawezi kufanya hata saccos ya kijiji
 
Mleta uzi hujatuambia yule aliyewekwa kimada uberigiji anaendereaje na tatizo lake la upumuaji.
Mzee wa faru john nae hujatuambia mbn harudi kutoka huko alikoifuata chanjo ya covid.
Ukienderea tutaweka wz kila k2.
Weka wazi mkuu. Huu Ni wakati wa ukweli na uwazi
 
Back
Top Bottom