FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Hii sasa dhambi, marehemu hasemwi jamaniAmekufa bila kupingwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii sasa dhambi, marehemu hasemwi jamaniAmekufa bila kupingwa.
acha uzwazwa wewe kijana yaan akili zako za LUMUMBA ndo unataka azivae Sky Eclat bora umshwishi mumeo atakuelewasky usipo badirika utabaki hivyo hivyo, badirika badirika siasa ni sawa na mchezo wa, mpira achana na siasa za namna hiyo ulizo zihifadhi moyoni mwako, usisahau hapa ulikuja bila chama utarudi bila chama.
ndio walewale tuacha uzwazwa wewe kijana yaan akili zako za LUMUMBA ndo unataka azivae Sky Eclat bora umshwishi mumeo atakuelewa
Waliyofanya hao ma Ded ni zaidi ya kuuwa !Ha
Wewe sky na kundi lko unaonekana nishetani aliyevaa ubinadam.
Unafurahia binadam mwenzio kufa kisa uchaguz
Mungu fundi pamoja na kutangaza washindi kibabe,roho imeenda mawinguniView attachment 1703408
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.
Hahaa best punguza hasira kwa marehemu dedBora mpungue...mkajibie huko huko midhambi yenu ahera..mxiew
Punguza hasira,kunywa majiHizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Kafa na kuderi,mungu fundi mataga wanapungua tuWapuuzi wachache watasema Korona
Changamoto inapunguza ccm kwa kasi na bado mpka jobu imtwae kipindi hikiUmeshakufa, kuwekwa ndani na kupotea lini tangu uanze kuwa mwanasiasa uchwara?
Nimecheka sana..acha uzwazwa wewe kijana yaan akili zako za LUMUMBA ndo unataka azivae Sky Eclat bora umshwishi mumeo atakuelewa
Kwa hivo siasa amuachie Nani?sky usipo badirika utabaki hivyo hivyo, badirika badirika siasa ni sawa na mchezo wa, mpira achana na siasa za namna hiyo ulizo zihifadhi moyoni mwako, usisahau hapa ulikuja bila chama utarudi bila chama.
Unaleta taharuki ujue
Siyo vizuri, ila nimecheka kwa sauti kuuAmekufa bila kupingwa.