Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Ukifikiria sanaaa jibu utalipata kuwa kuna anaestahili kurestishwa in peace huyo mtoa roho kama ananisikia afanye yake tafadhaliBora mpungue...mkajibie huko huko midhambi yenu ahera..mxiew
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukifikiria sanaaa jibu utalipata kuwa kuna anaestahili kurestishwa in peace huyo mtoa roho kama ananisikia afanye yake tafadhaliBora mpungue...mkajibie huko huko midhambi yenu ahera..mxiew
Mkuu mfe tu kiukweli mnasababisha maisha magumu kwa sera mbovu kabisa kuwahi kutokea hapaHizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Huu utaratibu wa kuwazawadia makada wa chama walioshindwa kwenye kura za maoni ndani ya chama, ulikuwa ni utaratibu wa hovyo sana.View attachment 1703408
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.
shida ya kupumua au...View attachment 1703408
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.
Chanzo Ni kuwanyima haki yao' ya kikatiba wapinzani.shida ya kupumua au...
Kama angekua mtenda mema ungeona RIP nyiingi na maneno ya faraja. Inakuwaje hapa hata nyie wenyewe hamwandiki RIP sana sana mnapinga hoja tu.Kuna mfadhili wa chadema alikufa juzi Kati nae aliwanyima haki ndipo akafa?
Kuna siku hamuongei humu jukwaani au maongezi gani ndiyo yahusianishwa na vifo vya walio kinyume na mawazo yenu?
Shindaneni kwa hoja, mnapofurahia vifo kana kwamba mnayo kinga dhidi ya kifo Ni kuonyesha wazi upeo wenu. Kila nafsi itaonja mauti, Basi mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani si nyingi nazo zahesabika .......
Sasa liuwaji lililotaka kumuuwa Lisu.likifa watu kwanini wasishangilie?Umeshakufa, kuwekwa ndani na kupotea lini tangu uanze kuwa mwanasiasa uchwara?
TMI wapo kimya tu.View attachment 1703408
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.
TMA wapo kimya tu.View attachment 1703408
Mkurugenzi wa Halmashauri Wilaya ya Korogwe, Kwame Daftari amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu jijini Dar es Salaam.
Hawa walihakikisha diwan na mbunge ni mataga kwa kuchaguliwa au kulazimisha.
Amekufa bila kupingwa.
Kijana haya enzi za ujana wetu na Tawala zilizopita hayakuwepo kabisaa ila yamekuja baada ya kuingia mtawala asiyejua kutawala na kuongoza huyu mnamuita buludoza bovu lenu. sababu hata vifo vinavotokea vya viongozi zamani ilikuwa ni kumuombea mungu amuweke mahala pema lkn sasa hivi hatuombei kifo kwa mtu ila hebu afe NDUGAYE au MEKO mwenyewe haitakuwa msiba tu itakuwa MSIBA na SHEREHE.Mbona mnaonesha kifo kama ni adhabu kwake. Kumbuka hata nyie mpo kwenye njia hiyo leo au Kesho. Ni chain . So you guys need to relax na muache kuingiza siasa kwenye vifo vya watu.
sky usipo badirika utabaki hivyo hivyo, badirika badirika siasa ni sawa na mchezo wa, mpira achana na siasa za namna hiyo ulizo zihifadhi moyoni mwako, usisahau hapa ulikuja bila chama utarudi bila chama.Ukweli utabaki kuwa ukweli ma DED walidhurumu haki wakati wa uchaguzi.
huyu dada niachieni nipo namchemshia chanjo yake.Hahah imebidi nicheke, dada wewe mkorofi
Basi watasema ni Corona as if magonjwa mengine yameenda likizo