rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 5,749
- 7,038
dhambi na siasa mbona cku zote haviachaniLakini hana dhambi ya kudhurumu ushindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dhambi na siasa mbona cku zote haviachaniLakini hana dhambi ya kudhurumu ushindi.
View attachment 1703408
Kama ulisimamia haki wakati wa uchaguzi u R.I.P
Acha watu watoe maoni yao ,kama unapenda wasitoe maoni yao hata maoni yako hayatakuwa na maana stahiki.Hata kwenye maandiko matakatifu kuna madhalimu walikufa baada ya kutekeleza unyama tena kwa pigo la Mungu mwenyewe so kama ni pigo au ni kawaida mimi na wewe hatujui but ukweli ni kwamba acha watu wawe huru kumwaga sumu zao as long as hazikudhuru.Kuna mfadhili wa chadema alikufa juzi Kati nae aliwanyima haki ndipo akafa?
Kuna siku hamuongei humu jukwaani au maongezi gani ndiyo yahusianishwa na vifo vya walio kinyume na mawazo yenu?
Shindaneni kwa hoja, mnapofurahia vifo kana kwamba mnayo kinga dhidi ya kifo Ni kuonyesha wazi upeo wenu. Kila nafsi itaonja mauti, Basi mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani si nyingi nazo zahesabika .......
Jamani!!! Yamekuwa hayo tena?Amekufa bila kupingwa.
Na wewe na wajanja wenzio semeni "changamoto ya kupumua" kama akili za mbuni ziliwahi kumuokoa na gharika.Wapuuzi wachache watasema Korona
Duuh. Kutoka kupita bila kupingwa hadi kufa bila kupingwa!!!Amekufa bila kupingwa.
Ngoja waje watasema siyo Corona.
Apumzike kwa amani.
Wajinga Wachache watasema sio Covid19Wapuuzi wachache watasema Korona
Kuzihesabu kura upya?!Huku akiwa na masanduku yaliyojaa kura za NDIYO feki. Sasa covid 19/21 kaingia kuzihesabu hizo kura.
Kati ya hao wapuuzi wachache wa kwanza ni wewe. Hv we ndo ulikuwa BOT ehee?Wapuuzi wachache watasema Korona
Watu wanacholaani zaidi ni matendo mabaya wanayowatendea watu. Wakachomwe moto huko.Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Duh, umepiga mlemle yaani.thumb up!Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.
Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Dadangu wasamehe; kufa bila kupingwa? Hii kaliAmekufa bila kupingwa.
But a short time to live. By james hardley chase..Kuna faida gani kuyapata yote duniani kwa ghiriba huku ukiiangamiza roho?
kwa sasa bongo zao zimejazwa na Hilo.Wapuuzi wachache watasema Korona