TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

TANZIA DED wa Korogwe, Kwame Daftari afariki dunia

Kuna mfadhili wa chadema alikufa juzi Kati nae aliwanyima haki ndipo akafa?
Kuna siku hamuongei humu jukwaani au maongezi gani ndiyo yahusianishwa na vifo vya walio kinyume na mawazo yenu?
Shindaneni kwa hoja, mnapofurahia vifo kana kwamba mnayo kinga dhidi ya kifo Ni kuonyesha wazi upeo wenu. Kila nafsi itaonja mauti, Basi mwanadamu aliezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi duniani si nyingi nazo zahesabika .......
Acha watu watoe maoni yao ,kama unapenda wasitoe maoni yao hata maoni yako hayatakuwa na maana stahiki.Hata kwenye maandiko matakatifu kuna madhalimu walikufa baada ya kutekeleza unyama tena kwa pigo la Mungu mwenyewe so kama ni pigo au ni kawaida mimi na wewe hatujui but ukweli ni kwamba acha watu wawe huru kumwaga sumu zao as long as hazikudhuru.
 
Ata mimi naweza kufa kwa c19, ila kinachozungumzwa hapa ni matendo ya aliyekufa, wanauliza, je akiwa hai alisimamia haki? Uchaguzi uliachia watu wengi majonzi makubwa sana, hakuna kitu kibaya kama mtu mwenye nguvu aje achukue haki yako kwa kuwa tu anajua huna nguvu ya kumfanya chochote.
 
RIP pole kwa familia na wananchi wa huko.Mkuu alisema ana reserve wengi,ingawa mbunge au diwani hawezi kuwa reserve
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Watu wanacholaani zaidi ni matendo mabaya wanayowatendea watu. Wakachomwe moto huko.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hizi mindset zenu za kufurahia vifo vya walio kinyume na ideology zenu, nanyi aisee!
Huko siasani mnafundishana upuuzi kwamba kifo sio haki au kifo ni adhabu tena yamstahili mpinzani wako wa mawazo, upuuzi kiwango Cha juu Sana kudhani kifo ni adhabu kwa usiempenda.
Kwahiyo wakifa wa chama chenu mnaojipa utakatifu kutafuta huruma kwenye maslahi yenu ya kisiasa, nao chaitwaje kifo chao?
Kifo Cha mtu mwingine sio faraja kwako kwakuwa nawe lazima ufe wakati ukifika. Pambaneni kwa hoja zenu za kisiasa na si kuhusianisha kifo na tofauti zenu za kisiasa ilhali kila mja yampasa kifo.

Roho ya mwendazake ipumzike kwa amani.
Duh, umepiga mlemle yaani.thumb up!
 
Back
Top Bottom