blessed chiqqah
Senior Member
- May 19, 2024
- 105
- 291
ina maana watu pori ndo ulimpa dedication babe wakoWatu pori......afande sele
Sisi watoto wa kayumba boys hatunaga hizo sang Nini......
miaka 10 sasa ila badoPole , maumivu yataisha tu jipe mda.
Pole sana , ulikua unampenda sana fanya mpango mrudiane.miaka 10 sasa ila bado
alishaoa akaachwa na mkewe solemba siwezi mrudiaPole sana , ulikua unampenda sana fanya mpango mrudiane.
Basi endelea kuumia tu .alishaoa akaachwa na mkewe solemba siwezi mrudia
nikikumbuka alinipa ya real love by massari na bado tukaachana πππsema bado naupenda huo wimbo hadi keshoHe! He!
Haya mlio na babe zenu waliowahi wadedicate mnaitwa huku..!
Sema massari ile nyimbo aliimba lazima uumie mahi πππnikikumbuka alinipa ya real love by massari na bado tukaachana πππsema bado naupenda huo wimbo hadi kesho
massari ule wimbo alitunga akiwa ametoka kupewa yote ππππππSema massari ile nyimbo aliimba lazima uumie mahi πππ
Mi niliimbiwa African queen kabisaaa π₯π€£
Walimpa bila chenchi π€£π€£π€£massari ule wimbo alitunga akiwa ametoka kupewa yote ππππππ
nyie nyie ukipita unajiona queen ndo wewe na bado mkaachana ukute
wajeHe! He!
Haya mlio na babe zenu waliowahi wadedicate mnaitwa huku..!
ila mapenziππWalimpa bila chenchi π€£π€£π€£
Tuliachana mahi kwa ugomvi mkubwa wa funga mtaa πΉπΉ