Dedication

Dedication

Mchungaji BAK kanitisha!!!

BAK kwanini tena???Hata kama ni maswala ya kiroho???

Wala usitishike Lizzy...Maswala/Masuala ya kiroho RUKHSA kuteta
 
Usipumzishe moyo itakuwa hatari! Keep on dreaming Mchungaji anakupreach ......lol

Hhahahahhahah will do mchungaji!!Siku yangu yakupumzika bado so moyo utakua kazini muda wote!!
 
Asante BAK....na wewe ubaki salama!!!


No question is stupid, BUT you asking if you are stupid is stupid!
Kama KUPENDA ni kazi naomba UNIAJIRI kwako!!

:whoo:
 
No question is stupid, BUT you asking if you are stupid is stupid!
Kama KUPENDA ni kazi naomba UNIAJIRI kwako!!

:whoo:

Naona umepigia mstari kabisa!!:whoo:
 
Kuna watu wanataka kuua???? Hiyo ni amri ya ngapi kwenye Bibilia??? Usiue, usizini, usiseme uongo, nk ha ha ha watu hawatekelezi maagizo ya Mungu???
 
Kuna watu wanataka kuua???? Hiyo ni amri ya ngapi kwenye Bibilia??? Usiue, usizini, usiseme uongo, nk ha ha ha watu hawatekelezi maagizo ya Mungu???

Kila siku.....wanahitaji kukumbushwa...japo vichwa vigumu hata hawasikii!!
 
Back
Top Bottom