Mwaikibaki
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,004
- 3,695
Nlidhai huyo black ndio Defao kakabwa na zombie stejini..kumbe defao..,.mxiuuuuu
Nlidhai huyo black ndio Defao kakabwa na zombie stejini..kumbe defao..,.mxiuuuuu
View attachment 273839hapa kabla hajajiongezaView attachment 273840hapa akiwa katika kiwango bora cha madawa na vipodoziView attachment 273841hapa ameshaanza kuchuja, madawa na vipodozi vya kujiongeza ni chemicals, zikiisha muda muda wake ni vigumu mno kuzi activate
Haaaa mi nilijuaga ameshakufa,ila ni vzr kama bado yuko hai
Hiyo ndio halali yake....
Yaani akili yangu yoote,nlidhani defao kasimama na mwanamke.kumbe huyo mwanamke ndio defao mwenyewe!!!!
General Defao haya mambo ya mkorogo alianzaga zamani sana, lakini kwa sauti yupo vizuri. HITACHIBacongo na mkorogo nomaaaa :glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
Hatimaye Defao amekufa huko Cameroun. Habari zimfikie David Mataka akiwa Mbezi Dar es SalaamKweli wanaume wengine hawana haya. Yaani Mataka alikuwa anampanda huyo baradhuli. Usijesikia kamfuata huko Nairobi tena. Maana miaka ile ya mwisho wa 1990s Defao alipewa shughuli m[aka akashindwa kupanda stejini akaishia kulazwa TMJ.
Wewe bado pua yako ukiibonyeza inatoa maziwa ..kama huamini tafuta kioo bonyesha ujiangalie utanielewaNdiyo kwanza namskia leo