Defao aonekana Nairobi akiwa kachoka!

Defao aonekana Nairobi akiwa kachoka!

Nlidhai huyo black ndio Defao kakabwa na zombie stejini..kumbe defao..,.mxiuuuuu

Dah lé genarali defao matumona kachooka kwakweli
Hapo ni enzi za salanoki..famile kikuta..bana kongo etc
 

Attachments

  • 1438789860520.jpg
    1438789860520.jpg
    6.7 KB · Views: 1,201
Dah pole yake lakini sebene zake hazina mkorogo tutaendelea nazo...mchaka mchaka.
 
Me nilijua ameshafariki. God forgive me!
 
Kweli wanaume wengine hawana haya. Yaani Mataka alikuwa anampanda huyo baradhuli. Usijesikia kamfuata huko Nairobi tena. Maana miaka ile ya mwisho wa 1990s Defao alipewa shughuli m[aka akashindwa kupanda stejini akaishia kulazwa TMJ.
 
Kiruuu nimeogopaje nilivofungua thread nkakutana na huyo jmn.... Kama mzimu wa watu wa kale.. . Uzuri wa kichina utaendelea kuwacost wasioridhika na uumbaji wa Mungu
 
Bacongo na mkorogo nomaaaa :glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy:
General Defao haya mambo ya mkorogo alianzaga zamani sana, lakini kwa sauti yupo vizuri. HITACHI

 
Last edited by a moderator:
Kweli wanaume wengine hawana haya. Yaani Mataka alikuwa anampanda huyo baradhuli. Usijesikia kamfuata huko Nairobi tena. Maana miaka ile ya mwisho wa 1990s Defao alipewa shughuli m[aka akashindwa kupanda stejini akaishia kulazwa TMJ.
Hatimaye Defao amekufa huko Cameroun. Habari zimfikie David Mataka akiwa Mbezi Dar es Salaam
 
Back
Top Bottom