Leta source mkuu kwasbb system ya hiyo mifumo ikae sehemu moja inakua je xote xilipkliweUkraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
Mtu una Smart Phone na una bundle halafu bado unasumbua watu wa Google kwa niaba yako. Au na wewe ni wale wasiotaka kusikia habari za kupigwa Russia.Leta source mkuu kwasbb system ya hiyo mifumo ikae sehemu moja inakua je xote xilipkliwe
Sasa umeshindwa kuleta source kwa kugugo au ndio source niamini "Mimi" brother?.Mtu una Smart Phone na una bundle halafu bado unasumbua watu wa Google kwa niaba yako. Au na wewe ni wale wasiotaka kusikia habari za kupigwa Russia.
Mnashabikia vifo na uharibifu wa mali kama mnavyoshabikia mpira wa simba na Yanga, enyi watz nani aliyewaroga ?Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
Picha?Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
Hivi wewe jamaa kweli unachekesha.Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?Hivi wewe jamaa kweli unachekesha.
Hivi ikitokea vita ya moja kwa moja baina ya Urusi na NATO ndio unataka kusema hakuna hata silaha moja ya NATO haitapigwa?
Hivi hakuna patriot zilizoharibiwa,au kama ADS za NATO ni Bora vipi Israel inapigwa na silaha za Iran.
Kwa hiyo S400 kupiga na dron ndio umehitimisha Urusi ni dhaifu..
Nilitaka kuamini kweli una ufahamu mkubwa kama unavyojinasib kumbe sivyo.
Hii hita wapo NATO,usitegemee Ukraine ikawa inapigwa Kila siku ,kwa sababu vita ni piga nikupige.
Vita ni kuviziana Sasa hao NATO wamevizia wamepiga hizo ADS kesho Urusi nae atafanya hivyo unashangaza sana wewe.
Mifumo ya S400 inafanya vizuri TU,lkn kupigwa na drone haiondoi uwezo wake ,kumbuka S400 hazikudizainiwa kutungua drone,lkn je Patriot,Thaad na ADS nyingine za west hazipigiki?Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?
Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu . NATO will declare VICTORY(Ni dhahiri).
Pia Pro Russia mmekuwa na tabia za kutia chumvi sana kuhusu uwezo wa S 400. Kumbe inapigika kirahisi tu hivyo .
NATO will declare victory (ni dhahiri)Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?
Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu . NATO will declare VICTORY(Ni dhahiri).
Pia Pro Russia mmekuwa na tabia za kutia chumvi sana kuhusu uwezo wa S 400. Kumbe inapigika kirahisi tu hivyo .
Andika vizuri acha upuuziLeta source mkuu kwasbb system ya hiyo mifumo ikae sehemu moja inakua je xote xilipkliwe
Mtanzania Tena kama kawaida Kwa ujuaji,eti kwa tathmini Yako Russia atashindwa TU.Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu
Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara,
Mleta mada Kusck iko nchi gani? Au ulimaanisha Kursk iliyoko Russia?Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
With whoRussia is overated
Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko.