Defence systems type S 400, S 350 na S 300 zalipuliwa huko Kusck - Russia

Defence systems type S 400, S 350 na S 300 zalipuliwa huko Kusck - Russia

Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?
Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu . NATO will declare VICTORY(Ni dhahiri).
Pia Pro Russia mmekuwa na tabia za kutia chumvi sana kuhusu uwezo wa S 400. Kumbe inapigika kirahisi tu hivyo .
Hamna silaha isiyopigika. Kikubwa ni timming tu.
 
Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.

The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.

Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.

Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika.

Hivi kwani silaha za NATO hazipigwi?
Hujaona maonesho yaliyofanyika huko Moscow ya silaha zilizopigwa za NATO zilizopigwa na zilizotekwa?
Russia inapigika lakini mbona wana endelea kuteka maeneo.
Hata hivyo ni vita Gani ambayo upande mmoja haupigwi?
Au Marekani katika vita vyao hua hawapigiki?
 
Mleta mada kakimbia.
Anyway, hakuna mshindi kwenye vita vya nyuklia na hilo hata West wanalitambua na kwa taarifa yako tu ni kwamba Russia ndo mmiliki wa bomu la nyuklia hatari zaidi Duniani na linalofanyiwa maboresho kila uchwao, kaitafute Tsar Bomba...
 
Mleta mada kakimbia.
Anyway, hakuna mshindi kwenye vita vya nyuklia na hilo hata West wanalitambua na kwa taarifa yako tu ni kwamba Russia ndo mmiliki wa bomu la nyuklia hatari zaidi Duniani na linalofanyiwa maboresho kila uchwao, kaitafute Tsar Bomba...
Ilishapiga wapi watu wakauna ubora wake
 
Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.

The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.

Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.

Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
Wataalam wa Ballistic Missiles wa Mchamba wima, si walisema Ukraine na wenzake wamenywea?
 
Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.

The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.

Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.

Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.

TIME WIL TELL
Tuseme putin kawa choko wanamtia tu madole kina zele
 
Mleta mada kakimbia.
Anyway, hakuna mshindi kwenye vita vya nyuklia na hilo hata West wanalitambua na kwa taarifa yako tu ni kwamba Russia ndo mmiliki wa bomu la nyuklia hatari zaidi Duniani na linalofanyiwa maboresho kila uchwao, kaitafute Tsar Bomba...
BOmu hatari la kujitangaza..? Usiwe mjinga mtu kama.US hawezi tangaza balaa lake never
 
Halafu ninaamini kinachofanywa na Marekani/NATO ni kutafuta taarifa zaidi kuhusu nguvu na weakness ya Russia kijeshi (Intelligence activities). Hivyo hata hii juzi Russia kupiga kwa kombora jipya TAYARI NI TAARIFA MUHIMU SANA KWA NATO. Ninaamini hata vile west walivyomruhusu Zelensky kupiga ndani ya Russia, kuna kitu walikikusudia na WAMEKIPATA.

Wanaendelea kumchokonoa ili naye azidi kukurupuka wamjue zaidi HALAFU MWISHO NATO AANZISHE MTITI RASMI KUMPONDA JAMAA. NA DUNIA INAWEZA KUSHANGAZWA NAMNA RUSSIA ITAKAVYOPIGWA KWA KUSHITUKIZWA TENA KWA NGUVU KUBWA SANA AMBAPO HATA MUDA WA KURUSHA NUKE ZAKE HAUTAPATIKANA.

MAREKANI/NATO SI AJABU TAYARI WALISHASETI TAGETI ZOTE MUHIMU NDANI YA RUSSIA, NI MUDA MUAFAKA TU UNAOSUBIRIWA.

RUSSIA wa Bunju mtakaojibu hii comment yangu nawashauri msijibu kwa makasiriko maana mna mahasira kuliko hata Putin mwenyewe.
 
Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.

The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.

Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.

Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.

TIME WIL TELL
Wapi dron pictures za hayo mashambulizi?
 
Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?
Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu . NATO will declare VICTORY(Ni dhahiri).
Pia Pro Russia mmekuwa na tabia za kutia chumvi sana kuhusu uwezo wa S 400. Kumbe inapigika kirahisi tu hivyo .
Punguza kuangalia Hollywood war movies Rambo anapiga kambi mzima peke yake na mjegeje....
 
Back
Top Bottom