Hamna silaha isiyopigika. Kikubwa ni timming tu.Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?
Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu . NATO will declare VICTORY(Ni dhahiri).
Pia Pro Russia mmekuwa na tabia za kutia chumvi sana kuhusu uwezo wa S 400. Kumbe inapigika kirahisi tu hivyo .
Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika.
Ilishapiga wapi watu wakauna ubora wakeMleta mada kakimbia.
Anyway, hakuna mshindi kwenye vita vya nyuklia na hilo hata West wanalitambua na kwa taarifa yako tu ni kwamba Russia ndo mmiliki wa bomu la nyuklia hatari zaidi Duniani na linalofanyiwa maboresho kila uchwao, kaitafute Tsar Bomba...
Wataalam wa Ballistic Missiles wa Mchamba wima, si walisema Ukraine na wenzake wamenywea?Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
Sasa nato Wanangojea nini kwenda kumtoa Russia pale Ukraine kama Ukraine anaiaibisha hivi Russia
Tuseme putin kawa choko wanamtia tu madole kina zeleUkraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
Acha ubishi wa Facebook, katafute historia yake. Diyo kila silaha lazima ijaribishwe kwenue kuua watuIlishapiga wapi watu wakauna ubora wake
BOmu hatari la kujitangaza..? Usiwe mjinga mtu kama.US hawezi tangaza balaa lake neverMleta mada kakimbia.
Anyway, hakuna mshindi kwenye vita vya nyuklia na hilo hata West wanalitambua na kwa taarifa yako tu ni kwamba Russia ndo mmiliki wa bomu la nyuklia hatari zaidi Duniani na linalofanyiwa maboresho kila uchwao, kaitafute Tsar Bomba...
Wapi dron pictures za hayo mashambulizi?Ukraine leo hii imefanya maajabu makubwa kusambaratisha mifumo ya Ulinzi ya Russia leo hii. Tena wamepiga kwa kutumia Drones tu.
The weakness of Russian Sophisticated and expensive Defence systems is exposed by Ukrainian Drones.
Aibu na fedheha kubwa sana hii kwa Russia.
Tukisema Russia anapigika na hana lolote naona warusi wa Kinyerezi wanakuja juu na kukasirika. Imagine huyo ni mtoto mdogo tu Ukraine, JE IKITOKEA NATO WAAMUE KUINGIA MAZIMA SI HIYO RUSSIA ITAKUWA GAZA TU.
TIME WIL TELL
Punguza kuangalia Hollywood war movies Rambo anapiga kambi mzima peke yake na mjegeje....Ni kweli NATO wanaisapoti Ukraine. Lakini hoja yangu ni kwamba kama hivi tu NATO haijaingia full mkoko lakini to some extent Russia anapata madhara, je, hao NATO watakapoingia mazima itakuaje?
Pia kwa tathimini ndogo tu inaonyesha iwapo vita kamini vinaibuka btn NATO Vs Russia basi resistance ya Russia kwa NATO itakuwa kubwa na yenye madhara kwa NATO lakini Russia atashindwa tu . NATO will declare VICTORY(Ni dhahiri).
Pia Pro Russia mmekuwa na tabia za kutia chumvi sana kuhusu uwezo wa S 400. Kumbe inapigika kirahisi tu hivyo .
katafute kazi ya kufanya mkuuKivita hakuna wa kupambana na Russia