Degree ipi ya ualimu ni nzuri?

Degree ipi ya ualimu ni nzuri?

..Soma bachelor of education in psychology Ila angalia chuo inayotoa iyo program na masomo y kufundishia kama math, history, physics, kemia n.k
 
..Soma bachelor of education in psychology Ila angalia chuo inayotoa iyo program na masomo y kufundishia kama math, history, physics, kemia n.k
Kwanini mmemshauri asome BED PSYCHOLOGY labda naweza kujifunza kitu hapa
 
Kwanini mmemshauri asome BED PSYCHOLOGY labda naweza kujifunza kitu hapa
Bed psychology ni program ya Elimu Kama zilivyo nyengine tu. Kusoma psychology kutakuongezea fursa zaidi tofauti na degree za elimu nyengine. Hapa unabidi uwe mjanja kidogo, ukiachana kuwa mwalimu wa shule, unaweza fanya kazi sehemu nyingi;-

Kwanza akibahatika kupata GPA kubwa anaweza omba kazi za vyuoni Kama tutor kufundisha iyo psychology kwasababu kozi nyingi zinahitaji kusoma psychology.

Pia unaweza fungua taasisi binafsi ya utoaji ushauri. Hapa unaweza kutoa ushauri kuhusu muelekeo wa soko la ajira, matatizo ya kindoa, kusolve matatizo mbalimbali ya kisaikolojia kwa watu n.k.

Wardens wa hostels Mara nyingi huwa ni watu waliosoma psychology.
 
Mwalimu ni mwalimu tu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
 
Kwanini mmemshauri asome BED PSYCHOLOGY labda naweza kujifunza kitu hapa
Mimi na marafiki zangu tuliograduate kwa kozi hiyo kipindi Magu amebana ajira, kwa kweli imetusaidia sana maana tulijikuta tunapata kazi kwenye Humanitarian organizations naa Hadi Sasa maisha yanaendelea vizuri tu.
 
Mwalimu ni mwalimu tu.
Siyo kweli, km hauko kwenye hiyo kada ni bora usikoment. Kuna kozi unaichukua ambayo kesho inaweza kukupa daraja la kusomea kitu kingine zaidi ya ualimu kwa kutumia cheti cha kozi yako.
 
KOZI nzuri za education mnisaidieni
Ushauri wa kwanza ambao binafsi nakupatia ni kwamba USISOMEE UALIMU KABISA... chumpa kwenye kitu ambacho kinaweza kukutoa kwenye utumwa wa kutegemea kuajiriwa na kilichojaa watu kibao wenye huo ujuzi.... tafuta kitu kitakachokupa upekee pia kitakupa upenyo wa kuwa na ujuzi wa kuweza kujiajiri mwenyewe..

Ushauri wa pili kama hutaki kuelewa huo ushauri wa juu soma EDUCATION inayo major kwenye physical education au special needs ama tehama/information technology.. only those three..

*Physical education ina mahitaji makubwa kwa sasa halafu wadau wachache.. inakupa pia uwezekano wa kuingia idara ya michezo na utamaduni (wilaya/manispaa) kama sio kitengo basi kuingia kwenye jopo litakalochaguliwa kuratibu shughuli za kifizikio (mfano michezo)

*Special needs education ni muhimu zaidi kwa vile zaidi ya somo la kufundishia utakuwa umespecialize kipekee kabisa kwenye maswala mfano lugha ya ishara maandishi nukta nundu, na impairements nyinginezo (uoni, usikivu na viungo) hawa watu waliosomea elimu ya mahitaji maalum uhitaji wao ni wa lazima katika kila kanda za kielimu au shule ambazo ni all inclusive.. bahati mbaya pia wako wachache mno

*Ualimu wenye ziada ya tehama.. kuna paradigm shift ya mifumo ya ufundishaji na ujifunzaji.. baada ya kuadopt learner centered approach sasa unaingia ulazima wa kuaccomodate ict intergrated teaching/learning ili kukimbizana na teknolojia na kuongeza uhalisia wa content na mifano .. ingawa hii inapasa kuwa option ya mwisho kati ya hizi tatu (maana tunajijua waafrika sisi)

Tahadhari: naona wengi wanakuchombeza kwenye education inayo major kwenye psychology you should simply think or ask them itakupa priority gani na je ina mahitaji makubwa? Na je? kwa mfumo uliopo kazi zake hazina watu mbadala au kutekelezeka hata kama aliyesomea hayupo! Vipi kwenye urahisi wa kujiajiri au kujiongeza binafsi?.. assuming umelamba ajira hapo unaweza ukawa umejihakikishia kuwa mwalimu wa malezi na ushauri nasaha wa kudumu huku majukumu ya darasani yakikusubiri na utapimwa kiutendaji sawa sawia na wasio na majukumu mengi ya ziada kama utakayokuwa umebandikwa wewe.

Neno langu sio sheria....GOOD LUCK
 
Bed psychology ni program ya Elimu Kama zilivyo nyengine tu. Kusoma psychology kutakuongezea fursa zaidi tofauti na degree za elimu nyengine. Hapa unabidi uwe mjanja kidogo, ukiachana kuwa mwalimu wa shule, unaweza fanya kazi sehemu nyingi;-

Kwanza akibahatika kupata GPA kubwa anaweza omba kazi za vyuoni Kama tutor kufundisha iyo psychology kwasababu kozi nyingi zinahitaji kusoma psychology.

Pia unaweza fungua taasisi binafsi ya utoaji ushauri. Hapa unaweza kutoa ushauri kuhusu muelekeo wa soko la ajira, matatizo ya kindoa, kusolve matatizo mbalimbali ya kisaikolojia kwa watu n.k.

Wardens wa hostels Mara nyingi huwa ni watu waliosoma psychology.
Samahani mkuu,

1. Kuhusu kuajiriwa kuwa tutorial assistant chuo kikuu.. hii benefit inaweza kumpata muhitimu yeyote mwenye GPA nzuri kwa kozi yoyote.

2. Kuhusu kujiajiri kuwa mtoa ushauri, ask youself, je watanzania tuna uraratibu wa kwenda kupata ushauri wa kulipia kwa hawa watu (hapa sikatai kabisa ya kuwa tuna uhitaji mkubwa wa hawa watu) je hakutakuwa na upinzani wa furss kwa watu waliosoma kozi zenye content inayofanana na wahusika wake wakawa na uwezo kama huo mfano sosholojia

3. Wardens wanaingia pia watu wa sosholojia, elimu kwa ujumla na elimu iliyo major kwenye psychology .. je ajira za wardens huwa zipo za kutosha au zinayokeaga continuously!?

Nina jamaa zangu kadhaa waliyoipiga hiyo kozi wamepachikwa kitengo na malezi na ushsuri nasaha na bado wanatakiwa kuwajibika majukumu ya darasani kama walimu wengine ambao wako loose kimajukumu...

Btw ni ushauri mzuri umetoa mkuu
 
Back
Top Bottom