Kaka, una computer na unaweza kupata mtandao angalau kwa masaa 2 kwa siku? Ikiwa utakuwa na hivi nilivyovitaja, unaweza kusoma "online"kupitia mtandao.Sina hakika kama kuna chuo kinatoa degree kwa njia ya posta.Stay tuned, hope Vingunge watakuja na muongozo mzuri zaidi.