calvin judica
New Member
- Aug 2, 2013
- 4
- 0
Habari za saa hizi ndugu zangu?samahanini naomba kuuliza kwa anayefahamu.
MIMI nimemaliza DIPLOMA ya ict katika chuo flani ivi cha serikali na kufaulu kwa G.P.A ya 4.0. wakati niko kidato cha sita nilisoma PCB na kupata division 3 ya point 15 lakini nikakosa credit moja ,Hivyo ikanilazimu kusoma diploma.
sasa nimemaliza lakini nataka nibadilishe fani nisome bachelor of science in chemistry au biotechnology au degree ya laboratory ,je inawezekana?jke nikiomba mkopo nitapata?NATHAMINOI SANA MCHANGO WENU ,,,,,
MIMI nimemaliza DIPLOMA ya ict katika chuo flani ivi cha serikali na kufaulu kwa G.P.A ya 4.0. wakati niko kidato cha sita nilisoma PCB na kupata division 3 ya point 15 lakini nikakosa credit moja ,Hivyo ikanilazimu kusoma diploma.
sasa nimemaliza lakini nataka nibadilishe fani nisome bachelor of science in chemistry au biotechnology au degree ya laboratory ,je inawezekana?jke nikiomba mkopo nitapata?NATHAMINOI SANA MCHANGO WENU ,,,,,