Degree ya open university Tanzania ina quality?

Degree ya open university Tanzania ina quality?

DJ SEPETU

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2017
Posts
8,413
Reaction score
12,336
Wadau naomba kujua mtu anayejiendeleza kwa aidha bachelor au masters kupitia chuo kikuu huria cha Tanzania thamani yake ikoje soko la ajira

Pia unawezeje soma kwa muda mfupi ikiwa uko kazini na kihitimu?
Karibuni nimshauri mtu hapa
 
Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
 
Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
Ushauri wako ni upi kwa mtu mwenye lengo la kujisomea huko
 
Mods nisaidieni kuuhamishia huu Uzi jukwaa la elimu
 
Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
Acha porojo kijana nimekutana na wahitimu wa hapo OUT wapo vizuri sana
 
Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
chuo kikuu cha dar es salaam 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

dah ngoja niishie hapa
 
Wadau naomba kujua mtu anayejiendeleza kwa aidha bachelor au masters kupitia chuo kikuu huria cha Tanzania thamani yake ikoje soko la ajira

Pia unawezeje soma kwa muda mfupi ikiwa uko kazini na kihitimu?
Karibuni nimshauri mtu hapa
Ni sawa mkuu, haina tofauti na vyuo vingine suala la uelewa/uchambuzi wa mambo ni ya mtu binafsi.
 
Open university ni chuo kama vyuo vingine, tofauti ni kuwa open university ni wewe na material yako , materials na wewe, huna muda wa kuwa na lecturer ukijitahidi sana na ukibahatika nasi una wenzako wa kusicuss nao, hivyo mtu wa open anatumia nguvu nyingi na anasoma sana kuliko wa full time university ambaye anakuwa na maprofessor wa kumuguider.

Kuwa degree ya chuo gulani ina market au haina market ni mwanafunzi mwenyewe, kama vile wanaosoma vyuo vingine kama UD kuna vilaza na wenye akili ndivyo open kulivyo hivyo hivyo, ukienda kwenye soko la ajira basi ni vile utajieleza kwenye interview na ukipita ni vile juhudi, maarifa na cretivity yako ndo itakufanya wewe kuwa bora hata kama umetoka kile chuo cha kiislam cha morogoro au teku ya mbeya. Soma popote ila uwezo wako ndo utakuweka sehemu sahihi
 
Wadau naomba kujua mtu anayejiendeleza kwa aidha bachelor au masters kupitia chuo kikuu huria cha Tanzania thamani yake ikoje soko la ajira

Pia unawezeje soma kwa muda mfupi ikiwa uko kazini na kihitimu?
Karibuni nimshauri mtu hapa
Imesimama kuliko ya incampus
 
Aisee umedanganya pakubwa mkuu. Siwatetei ila wengi wanaopita huko wanakuwa na experience na wako vizuri kikaz kuliko hao fresh from school . Mwisho wa siku, sio chuo unachotoka.. ni jinsi gani unaweza itumia elimu yako kazini.
Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
 
Kikubwa uwe competent,Utumishi wakitangaza kazi hawachagui majina kwa vyuo walivyosoma, ili mradi kiwe chuo kinachotambulika, mambo ya sijui nani kasoma wapi sijui kama yana nafasi sana kwa usawa huu
 
Tatizo la hawa wenzetu waliohamia na mabegi na kupiga kambi kwenye mabweni huku madem zao wakihonga mizigo ili wasipate sapu na wanapokuja huku uraiani wako hovyo kabisa.Mimi nimesoma Open na kipindi nipo field nilikutana idara moja na jamaa zangu waliosoma Mliman na Mzumbe aisee hawa jamaa wako very shallow practically,yaani so sad kwakweli
 
Back
Top Bottom