Mutatis mutandisNinachokuambia nina uhakika nacho, ceteris paribus
Asante nitakuja mkuu na hongeraKiukwel mi ndio nimehtmu elimu yangu ya bachelor mwaka huu
Na nnesoma miaka 3#
Ila naona kama unataka kusoma open University uwe na uwezo binafsi
La 2# naona inafaa zaidi watumishi
Na ni lahisi mtu kusoma vzr kama tyari uko na certificate au diploma ya ktu ambacho unakiendeleza
.
Nahis ukiw fresh from school itakugharmu mfumo wake n mgumu
Cheti chake kina uzito katk sekta za ajira kama vyuo vngne
.ila huku 95% ni watumishi tunajiendeleza
.
Kila ra heri
Karbu sana out
Kwa mengi njoo dm
Tuko pamojaAsante nitakuja mkuu na hongera
Kwahiyo nje ya UDSM vyuo vingine ni vyuo huria?Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
Endelea hivyo hivyo, na unaongoza na wengi walipita hapoChuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
Chuo kikuu huria ni chuo cha kisiasa kilichoundwa na serikali kuwasaidia makada waliokuwa kazini ili wasome then wajidai mtaani kuwa wamesoma. Jinsi elimu yake inavyotolewa ni kichekesho na haimsaidii mhitimu kuwa creative na great thinker km mhitimu wa chuo kikuu cha Dar es Salaam
😀😀Tatizo la hawa wenzetu waliohamia na mabegi na kupiga kambi kwenye mabweni huku madem zao wakihonga mizigo ili wasipate sapu na wanapokuja huku uraiani wako hovyo kabisa.Mimi nimesoma Open na kipindi nipo field nilikutana idara moja na jamaa zangu waliosoma Mliman na Mzumbe aisee hawa jamaa wako very shallow practically,yaani so sad kwakweli
Shukrani mkuuKiukwel mi ndio nimehtmu elimu yangu ya bachelor mwaka huu
Na nnesoma miaka 3#
Ila naona kama unataka kusoma open University uwe na uwezo binafsi
La 2# naona inafaa zaidi watumishi
Na ni lahisi mtu kusoma vzr kama tyari uko na certificate au diploma ya ktu ambacho unakiendeleza
.
Nahis ukiw fresh from school itakugharmu mfumo wake n mgumu
Cheti chake kina uzito katk sekta za ajira kama vyuo vngne
.ila huku 95% ni watumishi tunajiendeleza
.
Kila ra heri
Karbu sana out
Kwa mengi njoo dm
Acha uongo, open unaweza usifanye mtihani na ukapata A