M CM
JF-Expert Member
- Nov 25, 2012
- 2,495
- 1,477
Jamani siku hizi ukiwa SUA kupata degree si lazima ukomae bali kama una mzigo wa kueleweka basi unapata (namaanisha pesa).Kuna lecture moja aliyekuwa anafundisha kozi yenye code EDM 304 aliwaomba rushwa ya 1000,000/=Tsh kwa wale waliofeli mtihani wa chuo (UE) ili awatoe wakati wa probation,wakagoma kumpatia hiyo kitita na hatimate wakaingia kufanya hiya prob bila kutoa chochote na ndipo jamaa alipoleta ngoma haikutembea na maanisha mtihani ulikuwa mgumu kama jiwe kwa kila mmoja.Hapo ndipo jamaa akaanza kuwapangia bei ili wafaulu mtihani huo na garama ya tozo inategemea utakavojieleza, wengine aliwachota 350,000/=,wako wa 250,000/= naaliye mlilia sana alitozwa 100,000/=.JE lecter kama huyu siyo jambazi? Kwanini asichuliwe hatua kali za kinidhamu maana ana dhalilisha chuo? je nyie mnashaurije kuhusu kashfa hii nzito?